Wachezaji waliobeba Balon D' or, Champion League na World Cup

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Leo tutaje list ya wachezaji ambao walibeba 1. Balloo D' or 2.champions league

3.word cup.

Mima naanza na ronadihno gaucho haya twende kazi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ronaldo de Lima

Huyu alichukua kila kitu hiyo 2002 akiwa na Real Madrid na Brazil
 
1.Ronaldinho ( WC 2002, Champions League 2006, Balloon D Or 2005)

2. Kaka( WC 2002, CL 2007, Balloon D Or 2007)
 
1.Ronaldinho ( WC 2002, Champions League 2006, Balloon D Or 2005)

2. Kaka( WC 2002, CL 2007, Balloon D Or 2007)
Watu wanasema kaka hakucheza hata dakika moja kwenye WC ya 2002.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…