Wachezaji Waliopata 'Standing Ovation' Kutoka kwa Mashabiki wa Wapinzani Wao

Wachezaji Waliopata 'Standing Ovation' Kutoka kwa Mashabiki wa Wapinzani Wao

Companero

Platinum Member
Joined
Jul 12, 2008
Posts
5,606
Reaction score
1,711
1. Diego Maradona
2. Ronaldinho Gaucho
3. Comrade Companero
 
Mchungaji kanuni ya JF umeisahau?

Namba 1 na 2 walipata Standing Ovation kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya kuigalagaza Real Madrid!
 
Nimekusoka Mkuu.
anayempinga Gaucho huyo anachuma dhambi kwa makusudi.

Gaucho ni mbarikiwa aliyetoka Mbinguni na kuja kutia radha mchezo wa soka.

Unapotaja jina la Ronaldo de Assis Morreira basi unatakiwa usimame kama ulikuwa umekaa.

Alikamilisha mafanikio yake ya Soka baada ya kuchezea klabu ya AC Milan.
klabu ambayo ina mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani na pia ndio klabu iliyopata kuchezewa na nyota wengi zaidi hapa Duniani.

Kwa sasa Dinho ni nahodha wa klabu ya Flamingo ya huko kwao.
siku ya kwanza ya Gaucho kuchezea klabu hii alitambulishwa chenga mpya zapata 13 huku washabiki waliofurika uwanjani hapo wakikiri kuwa Gaucho ni mbarikiwa...

Forza Dinho
 
Nimekusoka Mkuu.
anayempinga Gaucho huyo anachuma dhambi kwa makusudi.

Gaucho ni mbarikiwa aliyetoka Mbinguni na kuja kutia radha mchezo wa soka.

Unapotaja jina la Ronaldo de Assis Morreira basi unatakiwa usimame kama ulikuwa umekaa.

Alikamilisha mafanikio yake ya Soka baada ya kuchezea klabu ya AC Milan.
klabu ambayo ina mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani na pia ndio klabu iliyopata kuchezewa na nyota wengi zaidi hapa Duniani.

Kwa sasa Dinho ni nahodha wa klabu ya Flamingo ya huko kwao.
siku ya kwanza ya Gaucho kuchezea klabu hii alitambulishwa chenga mpya zapata 13 huku washabiki waliofurika uwanjani hapo wakikiri kuwa Gaucho ni mbarikiwa...

Forza Dinho

Huyu ni Gang Chomba! Hebu tafuta basi clip youtube tufurahie huyo messiah wa soka. Nyumbani usimsahau Zamoyoni Mogella.
 
Ronaldo de lima alipotupia hat trick ktk uwanja wa old traford, mechi kati ya Manchester united na real madrid mwaka 2003 iloishia kwa Man utd kushinda 4-3
 
Labda waliotajwa hapo juu walipata standing ovation kwa umahiri wao kusakata soka lakini kwa namna ya pekee ANDRES INIESTA ktk mechi ya mwisho wa msimu wa 2010 alipata standing ovation ktk mechi dhidi ya Espanyol ilichezwa Estadi Cornella-El Prat,na hii ilifuatia ku dedicate world cup winning goal kwa aliye kuwa mchazaji wa Espanyol ambaye ambaye alikufa kifo cha ghafla kwa Cardic arrest,kama tunakumbuka baada ya goli Iniesta alivua jersey na flana ya ndani ilisomeka "Dani Jarque: siempre con nosotros..daima tutakuwa nawe!
 
Labda waliotajwa hapo juu walipata standing ovation kwa umahiri wao kusakata soka lakini kwa namna ya pekee ANDRES INIESTA ktk mechi ya mwisho wa msimu wa 2010 alipata standing ovation ktk mechi dhidi ya Espanyol ilichezwa Estadi Cornella-El Prat,na hii ilifuatia ku dedicate world cup winning goal kwa aliye kuwa mchazaji wa Espanyol ambaye ambaye alikufa kifo cha ghafla kwa Cardic arrest,kama tunakumbuka baada ya goli Iniesta alivua jersey na flana ya ndani ilisomeka "Dani Jarque: siempre con nosotros..daima tutakuwa nawe!

Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.

wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.

Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
 
Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.

wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.

Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...

Kaka Ulichoandika kinaweza kisiwe kweli per ce! lakini nimekukubali the way ulivyjaribu kumuelezea Gaucho,hakika alikuwa ni symbol ya entertainment footbal,the game I adore..Sijaona mfano wake kaka na hilo halina ubishi..alikuwa anaburudisha na kuuweka mchezo wa soka juu.

 
Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.

wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.

Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho..
.
bwahahahahahaha.....
 
Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.

wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.

Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
MKuu naona umetumia lugha isiyo ya kistaarabu..ACHANA NA MAJANGA NA VIFO-what does it mean...point ni wachezaji waliopata standing ovation sasa unachokataa wewe ni kipi au ulitaka lazima iwe kwa namna unayotaka wewe? kuku ni kuku jogoo jina
 
wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.

Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...

Ina maana na siku mlipomwaga hapo Stadio San Siro anga lilitanda giza, jua likatiwa giza na mwezi pamoja na nyota zikaacha kuumulika uwanja?
 
hivi hata kwetu si na yule MBUYI YONDANI na MWAIKIMBA nao si walipata hiyo manaita standing ovation sijui au nachanganya vitu....
 
hivi hata kwetu si na yule MBUYI YONDANI na MWAIKIMBA nao si walipata hiyo manaita standing ovation sijui au nachanganya vitu....

Usichanganye madesa, waliipataje - nani waliwapa na ni wapi hapo?
 
Usichanganye madesa, waliipataje - nani waliwapa na ni wapi hapo?

Hata Thiery Henry mwaka 2004 mechi ya mwisho wa msimu dhidi ya Portsmounth alipewa hiyo standing Ovation baada ya kutupia 3,kukamilisha ile unbeaten record.
 
WADAU WA SOKA hapa tunaongelea STANDING OVATION kutoka kwa WASHABIKI WA TIMU YA UPINZANI kwenye uwanja wa TIMU PINZANI!
 
Nimekusoka Mkuu.
anayempinga Gaucho huyo anachuma dhambi kwa makusudi.

Gaucho ni mbarikiwa aliyetoka Mbinguni na kuja kutia radha mchezo wa soka.

Unapotaja jina la Ronaldo de Assis Morreira basi unatakiwa usimame kama ulikuwa umekaa.

Alikamilisha mafanikio yake ya Soka baada ya kuchezea klabu ya AC Milan.
klabu ambayo ina mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani na pia ndio klabu iliyopata kuchezewa na nyota wengi zaidi hapa Duniani.

Kwa sasa Dinho ni nahodha wa klabu ya Flamingo ya huko kwao.
siku ya kwanza ya Gaucho kuchezea klabu hii alitambulishwa chenga mpya zapata 13 huku washabiki waliofurika uwanjani hapo wakikiri kuwa Gaucho ni mbarikiwa...

Forza Dinho[/
Forza Dinho
kaka upunguze upenzi unapotoa hoja yako,AC Milan ina mafanikio ktk soka la bara la ulaya soma hapa European football records - Wikipedia, the free encyclopedia
halafu hapa ina rekodi sawa na Boca Juniors duniani List of confederation and inter-confederation club competition winners - Wikipedia, the free encyclopedia
sasa inabidi uwe na data kuthibitisha kauli zako usiongee sana kinazi data hujakamilisha vizuri,ni sawasawa kuna mtu nilimwambia liverpool kwa sasa ni timu yenye mafanikio england kwa michuano ya ulaya,ila kwa jumla man utd,sawasawa na italy kwa jumla juventus,nikamuuliza arsenal na nottingham forest kasema nottingham forest,nikamuambia ukisema kwa michuano ya ulaya sawa ila kwa idadi ya mafanikio yote kimakombe ni arsenal maana ni ya 3 kwa mafanikio england baada ya man utd na liverpool
Football records in England - Wikipedia, the free encyclopedia
hii kwa Italy cheki hapa
Football records in Italy - Wikipedia, the free encyclopedia
samahani lakini nimetoka nje ya mada,ila tupunguzeni kuongelea kinazi sana bila kuwa data kamili au kuongea kwa umakini unamaanisha nini,sitastaajabu utasikia wengine watakuja kusema timu fulani nayo ina mafanikio makubwa sababu ni wanazi bila kuelezea pointi yao,jenga hoja na uwe na risiti watu watakuelewa sio kulazimisha huku data hauna,bora ukae kimya au search ukamilishe data yako na pointi yako,samahanini nimetoka nje ya mada lakini.QUOTE]
 
Back
Top Bottom