Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Diego Maradona
2. Ronaldinho Gaucho
3. Comrade Companero
Nimekusoka Mkuu.
anayempinga Gaucho huyo anachuma dhambi kwa makusudi.
Gaucho ni mbarikiwa aliyetoka Mbinguni na kuja kutia radha mchezo wa soka.
Unapotaja jina la Ronaldo de Assis Morreira basi unatakiwa usimame kama ulikuwa umekaa.
Alikamilisha mafanikio yake ya Soka baada ya kuchezea klabu ya AC Milan.
klabu ambayo ina mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani na pia ndio klabu iliyopata kuchezewa na nyota wengi zaidi hapa Duniani.
Kwa sasa Dinho ni nahodha wa klabu ya Flamingo ya huko kwao.
siku ya kwanza ya Gaucho kuchezea klabu hii alitambulishwa chenga mpya zapata 13 huku washabiki waliofurika uwanjani hapo wakikiri kuwa Gaucho ni mbarikiwa...
Forza Dinho
Labda waliotajwa hapo juu walipata standing ovation kwa umahiri wao kusakata soka lakini kwa namna ya pekee ANDRES INIESTA ktk mechi ya mwisho wa msimu wa 2010 alipata standing ovation ktk mechi dhidi ya Espanyol ilichezwa Estadi Cornella-El Prat,na hii ilifuatia ku dedicate world cup winning goal kwa aliye kuwa mchazaji wa Espanyol ambaye ambaye alikufa kifo cha ghafla kwa Cardic arrest,kama tunakumbuka baada ya goli Iniesta alivua jersey na flana ya ndani ilisomeka "Dani Jarque: siempre con nosotros..daima tutakuwa nawe!
Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.
wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.
Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
Ronaldo de Lima alipata OT baada ya kupiga hat-trick1. Diego Maradona
2. Ronaldinho Gaucho
3. Comrade Companero
bwahahahahahaha.....Achana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.
wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.
Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
MKuu naona umetumia lugha isiyo ya kistaarabu..ACHANA NA MAJANGA NA VIFO-what does it mean...point ni wachezaji waliopata standing ovation sasa unachokataa wewe ni kipi au ulitaka lazima iwe kwa namna unayotaka wewe? kuku ni kuku jogoo jinaAchana na mambo ya vifo na Majanga...
Dinho kama Dinho siku hiyo ktk Dimba la El Santiago Bernabeu alicheza soka la ngazi ya Mbinguni mpk washabiki wa Madrid kwa kiburi walichonacho waliungana na Malaika wa huko Mbinguni kumpigia makofi MT Dinho.
wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.
Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
wataalam wa maswala ya Anga walisema kuwa usiku wa siku hiyo ilionekana nyota ya ajabu ikimulika juu ya uwanja huo wa Madrid.
Inaaminika kuwa nyota hiyo ilikuwa inammulika St Gaucho...
Usichanganye madesa, waliipataje - nani waliwapa na ni wapi hapo?
kaka upunguze upenzi unapotoa hoja yako,AC Milan ina mafanikio ktk soka la bara la ulaya soma hapa European football records - Wikipedia, the free encyclopediaNimekusoka Mkuu.
anayempinga Gaucho huyo anachuma dhambi kwa makusudi.
Gaucho ni mbarikiwa aliyetoka Mbinguni na kuja kutia radha mchezo wa soka.
Unapotaja jina la Ronaldo de Assis Morreira basi unatakiwa usimame kama ulikuwa umekaa.
Alikamilisha mafanikio yake ya Soka baada ya kuchezea klabu ya AC Milan.
klabu ambayo ina mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani na pia ndio klabu iliyopata kuchezewa na nyota wengi zaidi hapa Duniani.
Kwa sasa Dinho ni nahodha wa klabu ya Flamingo ya huko kwao.
siku ya kwanza ya Gaucho kuchezea klabu hii alitambulishwa chenga mpya zapata 13 huku washabiki waliofurika uwanjani hapo wakikiri kuwa Gaucho ni mbarikiwa...
Forza Dinho[/
Forza Dinho