Wachezaji wanaoweza kupata namba Azam kutoka Simba na Yanga

Wachezaji wanaoweza kupata namba Azam kutoka Simba na Yanga

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Habari za asubuhi,

Kama nilivyoleta uzi wangu jana kusema Simba ina kikosi cha kawaida kulinganisha na Azam, hilo halina ubishi na siyo Simba tu ni hata Yanga pia.

Je, unafahamu toka Simba na Yanga wachezaji wanaoweza pata namba pale Azam moja kwa moja ni CHAMA na BANGALA tu?

Kwa vipaji vilivyojaa AZAM hao pekee wanaweza pata namba Chamanzi.

Mpira ni uwekezaji na Azam wamewekeza, endapo timu hii ya Azam ikivalishwa jezi za Simba au Yanga itachukua NBC ata Mara 3 UNBEATEN.

Ila kinachoiangusha Azam haitembezi bahasha kwa marefa ndiyo maana wanainyonya sana unaichukulia poa utazani haitoki TANZANIA.

Msimu jana nilishangaa sana Simba na Yanga kushangilia kuifunga Azam ambayo wacheza 8 wa first eleven walikuwa out karibu msimu mzima.

LYANGA, DUBE,NADO,BAJANA. Hao wachezaji tegemezi walikuwa majeruhi msimu Jan.

SUREBOY,AGGREY,MUDATHIRI hao walisimamishwa.

Sasa mlikuwa mnafrahia nini kutufunga?


note: KAULI MBIU YETU HATUFUNGWI NA TEAM ZISIZO NA VIWANJA MSIMU HUU[emoji16][emoji460]
 
Yaani watu wengine wa ajabu sana.

Kuifunga Simba ndio unaiona Azam ni timu kubwa sana, pale amekutana na Simba ambayo imechoka. Mechi zingine ataendelea kupata tabu.
Kwani nyie msimu jana mlipoifunga Azam bila dube,langa,nado,sureboy,Agrey,mudathiri,bajana ilikuwa imekamilika?

Mbona wepesi kusahau sana
 
Ubora upi huo wa kuchezewa kama watoto?

Team zenu bila bahasha kwa marefa ni hamna kitu
Na nyie tulieni acheni mbambamba sasa kufungwa na hizo timu ndogo mnazokutana nazo huwa mnapatwa na nini? Hilo la bahasha kuna timu ndo mambo yake hayo simba haina huo ujinga
 
Habari za asubhi

Kama nilivyoleta Uzi wangu jana kusema simba ina Average squad compared to AZAM

hilo halina ubishi na sio simba tu ni hata Yanga pia

Je unafahamu toka simba na Yanga wachezaji wanaoweza Pata number pale Azam direct ni CHAMA. na BANGALA tu?

Kwa vipaji vilivyojaa AZAM hao pekee wanaweza pata number chamanzi

Mpira ni uwekezaji na Azam wamewekeza endapo team hii ya Azam ikivalishwa Jersey za simba au Yanga itachukua NBC ata Mara 3 UNBEATEN

Ila kinachoiangusha Azam haitembezi bahasha kwa marefa ndo maana wanainyonya sana unaichukulia poa utazani haitoki TANZANIA


Msimu jana nilishangaa sana Simba na yanga kushangilia kuifunga AZAM ambayo wacheza 8 wa first eleven walikuwa out karibu msimu mzima

LYANGA, DUBE,NADO,BAJANA. Hao wachezaji tegemezi walikuwa majeruhi msimu Jan

SUREBOY,AGGREY,MUDATHIRI hao walisimamishwa

Sasa mlikuwa mnafrahia nini kutufunga?


note: KAULI MBIU YETU HATUFUNGWI NA TEAM ZISIZO NA VIWANJA MSIMU HUU[emoji16][emoji460]
Sasa kama mnafungwa mpaka na zile timu zilizobakia kidogo tu kushuka daraja msimu uliopita, bado mnapata kabisa jeuri ya kuja kujisifia humu!
 
Na nyie tulieni acheni mbambamba sasa kufungwa na hizo timu ndogo mnazokutana nazo huwa mnapatwa na nini? Hilo la bahasha kuna timu ndo mambo yake hayo simba haina huo ujinga
Sie tunafungwa unakutwa tumenyimwa penalties yaani hatuchukuliwi kama team ya Tanzania
 
Azam ni timu ya kawaida Sana kwa Simba na yanga .
Ukitaka kulijua Hilo subir mwisho wa msimu majibu utayapata tu.
 
Sasa kama mnafungwa mpaka na zile timu zilizobakia kidogo tu kushuka daraja msimu uliopita, bado mnapata kabisa jeuri ya kuja kujisifia humu!
Kikubwa zisizo na viwanja hatuzifungi msimu huu ndo kauli mbiu yetu
 
Kwani nyie msimu jana mlipoifunga Azam bila dube,langa,nado,sureboy,Agrey,mudathiri,bajana ilikuwa imekamilika?

Mbona wepesi kusahau sana
Akili yako ni ndogo sana azam alipofungwa na yanga msimu jana akichezewa mpira mwingi unasingizia majeruhi.. zikifungwa team zingine unasingizia bahasha.. yan wewe jamaa unaonekana ni mtu wa kutafuta sababu sana...
 
Azam ni timu ya kawaida Sana kwa Simba na yanga .
Ukitaka kulijua Hilo subir mwisho wa msimu majibu utayapata tu.
Kwa kuhonga wapinzani na marefa sie wa kawaida ila tukikutana ball itatembea

Msimu huu hatufungwi na wasio na viwanja
 
Yaani watu wengine wa ajabu sana.

Kuifunga Simba ndio unaiona Azam ni timu kubwa sana, pale amekutana na Simba ambayo imechoka. Mechi zingine ataendelea kupata tabu.
Tanzania kuna upumbavu mwingi sana ndugu yangu tuzoeane tu.
 
Akili yako ni ndogo sana azam alipofungwa na yanga msimu jana akichezewa mpira mwingi unasingizia majeruhi.. zikifungwa team zingine unasingizia bahasha.. yan wewe jamaa unaonekana ni mtu wa kutafuta sababu sana...
Hatukuwa na wachezaji 8 kikosi cha Kwanza.

Msimu huu tumetimia draw mmepewa na refa
 
Hatukuwa na wachezaji 8 kikosi cha Kwanza.

Msimu huu tumetimia draw mmepewa na refa
Haha kisingizio kingine... kwahiyo refa ndio alimwambia golikipa wenu wa azam asidake mashuti ya feitoto... ushabiki usikufanye upungue uwezo wa kufikiri
 
Haha kisingizio kingine... kwahiyo refa ndio alimwambia golikipa wenu wa azam asidake mashuti ya feitoto... ushabiki usikufanye upungue uwezo wa kufikiri
Shuti la mpira uliotoka?

Mara mpewe penalties za kijinga

Ndo maana waarabu waliwa fir*
 
Wapuuzi kweli, kule kimataifa nako kuna bahasha? Mlipopigwa 3-0. Uwekezaji mkubwa mipango endelevu hakuna. Tafuteni watu wenye weledi kwenye tasnia ya soka mtafika mbali
 
Back
Top Bottom