Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Una uhakika?Mbona unanifata fata sana
Uyo kanote ukimpeleka KMC nauhakika hapati number kwa majogoroKwaiyo bro wee mechi ya jana ndo umepagawa uyo ndala alitepeta kwa Emanuel Mvyekure wa KmC[emoji23][emoji2] jana angekuwepo Mdhamiru na Kanoute ucngemsifia kias hcho
Hata ivo timu inapangwa kulingana na mahitaji ya mechi hkn beki wa Azam wa kumuweka bench Inonga Varane wala midfielder wa kumuweka Aucho akiwa fiti
Mngetufunga basi kama mnauwezo diara anajua kubabaika tu ila goal keeping ni zeroAzam ni wadogo tu pale anaweza namba wakitokea sub ni akaminko na dube
Yule kipa wenu hawezi kumweka benchi diara
Juma shaban unajua uwezo wake
Hapo kati unajua mafundi
Mbele kuna mayele huwezi kimlinganisha na mbombo
Kaongea ukweli,kuna tofauti kati ya ubora wa timu na ubora wa wachezaji.Azam ina wachezaji bora sana kuliko Simba na YangaYaani watu wengine wa ajabu sana.
Kuifunga Simba ndio unaiona Azam ni timu kubwa sana, pale amekutana na Simba ambayo imechoka. Mechi zingine ataendelea kupata tabu.
Kumbe na nyie huwa mnapewa bahasha maana ushindi wenu huwa ni sare kinyume chake ni vichapo tu!Na nyie tulieni acheni mbambamba sasa kufungwa na hizo timu ndogo mnazokutana nazo huwa mnapatwa na nini? Hilo la bahasha kuna timu ndo mambo yake hayo simba haina huo ujinga
"Kwasababu za kiufundi" nakubali utetezi wako kwa Prisons, enhe vipi kwa KMC FC?Game ya prison tumenyimwa tuta ikatutoa mchezoni zaka aka react waka mfungia
Kwa maelezo haya ni dhahiri kwamba kupoteza mchezo huo hakukusabishwa na refa.KMC tulidharau mechi na poor selection of players kocha aliona katoka ku win against alkhadar akafanya utumbo mwingi
Hatukaamii tuna cheza simple tu kama ni rahisi kukamia waambie ata mtibwa wakamie na wawafungeTatizo Azam anakamia mechi za Yanga na Simba ndo utofauti uliopo unawafny wachezaji viwango vinapanda kwa kukamia mechi hizo
Sawa KMC anao uwanja !Kwa kuhonga wapinzani na marefa sie wa kawaida ila tukikutana ball itatembea
Msimu huu hatufungwi na wasio na viwanja
Refa kaibeba Yanga kwa kutompatia Bajana red cardHaha kisingizio kingine... kwahiyo refa ndio alimwambia golikipa wenu wa azam asidake mashuti ya feitoto... ushabiki usikufanye upungue uwezo wa kufikiri