Tunajua utopolo ana mamluki wengi,wengi wakiwa wezi wakubwa hii nchi wanaotoa pesa zao kuhonga wachezaji wa timu pinzani ili ama wawalegezee wanapocheza Mao,ama waikamie Simba ikibidi hata kuvunja miguu ya wachezaji wao ili kudhoofisha kikosi chao.
Hata hivyo nawakumbusha kuwa hiyo ndiyo kazi yenu.Ni lazima muoneshe ushindani ili siku moja msajiliwe vilabu vikubwa mnufaike na vipani vyenu.
Acheni kucheza kama wachezaji wa Dodoma jiji ama Kagera sugar na timu nyingine ambazo wanacheza kama hawajitambui.
Pia endeleeni kuikazia Simba maana lengo ni kuiimarisha kimataifa.Ipeni upinzani wa kweli ili kuikomaza.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hata hivyo nawakumbusha kuwa hiyo ndiyo kazi yenu.Ni lazima muoneshe ushindani ili siku moja msajiliwe vilabu vikubwa mnufaike na vipani vyenu.
Acheni kucheza kama wachezaji wa Dodoma jiji ama Kagera sugar na timu nyingine ambazo wanacheza kama hawajitambui.
Pia endeleeni kuikazia Simba maana lengo ni kuiimarisha kimataifa.Ipeni upinzani wa kweli ili kuikomaza.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app