Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Wewe bhana jitahidi tu kuzoea kuamini. Maana hakuna namna. Msimu ujao, jojo zitaendelea kutafunwa pale mbele kama kawaida.Siamini mpaka sasa Mugalu hajaachwa alafu ukute kocha mpya Mugalu ndo chaguo lake la kwanza safu ya ushambuliaji"haki ya Mungu uchawi upo"
Yaani ww ndiyo umeongea kinyume kabisa, kiungo cha kati ndiyo naona hakuna shida sana kwani ongezeko la Akpan ukichanganya na waliokuwepo inajitosheleza kabisa. Shida kubwa hata msimu uliopita imetugharimu ni kwenye umaliziaji pale mbele, nafasi nyingi zinatengenezwa kuweka mpira wavuni ndiyo tatizo. Phiri sawa ni mzuri na ataongeza kitu kikubwa ila tulitakiwa kuwa na mtu mwingine zaidi wa uhakika kama huyo Manzoki. Ila kwa kumtegemea Mugalu na Kagere tutasubiri sana1.CB wa kukaa na Inonga..
2.LB wa kumsaidia ZimbweJr, Gadiel hana msaada tena...
3.CM (Lwanga, Mzamiru, Mkude, Akpan, Kanoute ni kiungo chepesi sana..)
Mbele hakuna ulazima sana ila akipatikana namba 9, Kagere apewe mkono wa kwaheri...
Ingependeza zaidi kama ungeficha ujinga wakoBOSS KASUSA SIMBA WANASAJILI OVYOOVYO TU...
Na msiposajili vizuri tunachukua back 2 back mpaka 2030 huko
endeleeni kubaki na hayo magarasa wazee utahifadhi hizo akili zako na tutawachapa hamtaaminiIngependeza zaidi kama ungeficha ujinga wako