Wachezaji watatu ambao wamebahatika kuchukua Kombe la Dunia kama Wachezaji na wakiwa Makocha

Aacha record zako za uwongo wewe,usiwe waongea vitu usivyovijua ati "kwa zaidi ya miaka 50 bingwa haijawahi kuingia back to back final'
Hivi Brazil alifanyaje 98?
Ni miaka 50 hiyo toka 98 mpaka 2022?
We ndo hujaelewa amezungumzia bingwa mtetez kuingia fainal back 2 back sasa wew unaleta habar za Brazil ya mwaka 98 kwan hio 98 alikua bingwa?
 
We ndo hujaelewa amezungumzia bingwa mtetez kuingia fainal back 2 back sasa wew unaleta habar za Brazil ya mwaka 98 kwan hio 98 alikua bingwa?
We msomali wa wapi kichwa Maji hivyo? Wenzako wote hata mtoa thread ameelewa kwani hujui kuwa Brazil alikuwa bingwa wa world cup ya 1994?
Brazil kaingia 3 back 2 back finals ,1994 -2002
Acha ukaidi wa "kisomali'
 
Ufaransa LAZIMA ISHINDE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…