NyosoKwa mfano?
huyu kazidi aisee.....Nyoso
Boban, okwi na Asante kwasiNyoso
ha haaaa..........Boban, okwi na Asante kwasi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkitaka kuanzisha mtindo wa kuwapima kuhusu kilevi hicho (jani au gampera )basi muhakikishe mwakani hakuna ligi naishia hapa.
Yondani,Bobani, nyoso,chujiKwa mfano?
okwi havuti na hanywiBoban, okwi na Asante kwasi
kama Mkemi nadhani huwa anavuta na wachezaji wake!SIO WACHEZAJI HADI VIONGOZI WA TIMU ZA BONGO WENGI WAO NI WATUMIAJI WA GANJA