Wachezaji wengi wa uingereza kwa sasa hufikia peak wakiwa 24 baada ya hapo hudrop nw kupotea

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Mm ni mfatiliaji sana wa epl week in week out

Wachezaji wa sasa wa uingereza wamekuwa wa hovyo tofauti na miaka ya nyuma tu apo cha kuna kwa kina soul camble na ashley cole

Ukiangalia makinda wengi wa epl watoto wa malkia huanza karia yao vizuri with a promising talents

Lkn wengi wakienda sana kufikia miaka 24 wanakuwa wamechoka sana hata kupotea kwenye ramani ya mpira kwa top clubs


Tatizo ni nini?
Kwa miaka ya karibuni ni harry kane wa spurs,mr captain henderson na milner wa liverpool, walker wa City,trippier wa new castle waliomaointain kiwango chao kwa angalau muongo mmoja na

Nilikuwa nampa credit nyingi za foden wa man City na trent wa liverpool kufanya vizuri lkn taratibu wameanza kudrop

Na wechezaji wengi wanakuwa wanaumia mara kwa mara tatizo ni nini?

Hawa waingereza ni shida gani wanakuwa nayo?
 
Uwezo huwa unaonekana wanapokuwa makinda mkuu
Ila angalia wengi wakishavuka 24 inakuwa mizigo
Wana pambwa sana kuliko uwezo wao vyombo vyao vya habari viko vizuri sana kwenye propaganda za kuwasifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…