Wachezaji wenye asili ya Afrika ambao hawakuchezea nchi zao

Pengine wako ila hujui kutokana na majina yao, mfano Aliko Dangote kwa jina tu huwezi kujua kama muislam ila ni Alhaj kabisa yule jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi sana kwa kutufahamisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo unautaratibu mzurisana ktk makuzi(uleaji wakikanisa),sisi waislamu tunafundisha elimu ahela mudawote

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni mkristo hata biblia yako huenda huijui mjomba,,,

Eti ahela badala ya Akhera. Nyie kwa hoja ni ZERO kabisa, na ndiomaana PROFESSOR MAZINGE uwa anawaumbua live na kusababisha mamia ya wakristo,pagani n.k kusilimu/kuingia katika uislamu,,,tena co kwa kulazimishwa mjombaa "Uislamu haulazimishi" mpaka serikali ikaona hapa hapana wakaona solution ni kuficha aibu yenu/yao wagalatia, na
nafikiri walipiga kabisa marufuku mihadhara baada ya kuona hali yazidi kuwa tete upande wenu mjombaa 😂😂😂
 

Punguza jazba mkuu, hiyo msg nilimjibu mpumbavu mmoja tizama alichokiandika kwanza na tatizama mada ilivyokua ikienda.
 
Mbona umewasahau ? Emily mpenza na mboo mpenza - Congo ( Belgium)
 
Na wewe pia umejiunga kwenye kutoa majibu ya kijinga. Yule mjinga uliyemu quote hukutakiwa kumwonesha kwamba kumbe na wewe ni wale wale. Umeingia mtego kwa kutaka kuibadili mada iwe ya mabishano ya dini. Hakuna atakayeshinda lakini kwa wajinga mtafikiri hoja zenu zimeshinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…