Wachezaji wetu wazawa wanakwama wapi? Kila tetesi ya kutakiwa na timu za nje ni wageni tu? Why siyo wazawa?

Wachezaji wetu wazawa wanakwama wapi? Kila tetesi ya kutakiwa na timu za nje ni wageni tu? Why siyo wazawa?

political monger senior

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
1,827
Reaction score
5,994
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

1686920968298.jpg
 
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners....

Wachezaji wa ndani mbona Ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini?

Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral

Yani Sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu

"Surround yourself with those who can rise you high"

Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa

Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi

Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson

Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja

Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs ( wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight

Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika

Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera...View attachment 2659712
Hoja yako ni kubwa Sana kuliko hoja za Makanjanja wanaojiita wachambuzi.
 
Wachezaji wazawa ndio hao akina Fei, unadhani kuna timu kubwa zenye mafanikio na zinazoendeshwa kwa weledi zitahitaji wachezaji aina ya Fei ambao wanavunja mikataba kihuni bila kufuata utaratibu? Hawa wataendelee kutumika humuhumu tu.
 
Tusiwalaumu sana wachezaji wetu. Nchi yetu haina vipaji vya kutisha na kuweza kuwa consistent kwa muda mrefu. Sisi tuna utajiri wa mashabiki na wachambuzi wa mpira. Huwa ni mara chache vinatokea vipaji adhimu sana. Na hao wachache wanaotokea wanatekwa na tabia yetu kuridhika haraka kwasababu ya kuvimbiwa amani na maisha mepesi yaliyopo Bongo. Kutoka nje ya Tanzania imekuwa ni tatizo sugu hata kwa ambao sio wachezaji. Ni ngumu mchezaji kuacha ufalme wake pale Simba na Yanga aende kupambania namba huko Berkane. Zambia ina ligi dhaifu sana ila wana vipaji vingi mno.. na ule udhaifu wa ligi na malipo duni unawafanya wapambane mno kutoka. Tanzania na South Africa tunafanana tabia.
 
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

Na kwa Msisitizo Job , bakari na bacca wapo kwenye first xi ya Cafcc 2023
 
HIzi pisi za bongo za kujiokotea wengine linapokuja swala la kuhamia nchi nyingine lazima wajifikirie mara mbili 😄
 
Back
Top Bottom