A alexiz sanchez ozil Senior Member Joined Sep 12, 2015 Posts 139 Reaction score 394 Jan 21, 2024 #21 konyola said: Sidhani kama huu upupu ungeutoa endapo Kuna nduguyo amefia humu umeandika kama umekula mavi Click to expand... Ndugu zangu wanafuata maelekezo, wakiambiwa mashimo yana hatari ya kuporomoka hawawezi kuingia kwa siri usiku wa manane.
konyola said: Sidhani kama huu upupu ungeutoa endapo Kuna nduguyo amefia humu umeandika kama umekula mavi Click to expand... Ndugu zangu wanafuata maelekezo, wakiambiwa mashimo yana hatari ya kuporomoka hawawezi kuingia kwa siri usiku wa manane.
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Feb 13, 2024 #22 Nifah uzi upo, haujafutwa
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Feb 13, 2024 #23 Huu Uzi Ulifutwa Mods Wameamua Kurudisha
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Feb 13, 2024 #24 Bushmamy said: Nifah uzi upo, haujafutwa Click to expand... Wameurudisha basi, ila waliuondoa kwanza wakati ulipokuwa posted. Nimeupitia, wameuedit. Mimi nilicopy habari aliyoileta, kuna vitu wameviondoa.
Bushmamy said: Nifah uzi upo, haujafutwa Click to expand... Wameurudisha basi, ila waliuondoa kwanza wakati ulipokuwa posted. Nimeupitia, wameuedit. Mimi nilicopy habari aliyoileta, kuna vitu wameviondoa.