Tanzania gani unayozungumzia Mkuu??? Kwa mwendo tulio nao huu naamini ifikapo mwaka 30021 bado tutakua tunatumia jembe la mkono la mChina.China technology bado sana coz wana copy tu....
Bora Tanzania hatutaki ku copy technology ya mataifa mengine, sisi tutagundua yakwetu mpya kabisa, ni suala la muda tu.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nami nimefuatilia post yako ili nione ukizungumzia technical aspects za hayo magari uliyoweka kama reference lakini nakuta umeishia kuonesha bei tu!! Ni kama unajaji "ubado" wa Uchina kwa kuangalia bei!!mwisho wa siku tafiti nyingi zilizikuwa zinafanywa zilibebwa hivo hivo na kufundisha wachina na leo wachina wanaonekana kutumia vizuri.
nimejaribu kufatilia magari ya umeme toka china ndipo nikagundua hawa watu bado kabisa
Tanzania gani unayozungumzia Mkuu??? Kwa mwendo tulio nao huu naamini ifikapo mwaka 30021 bado tutakua tunatumia jembe la mkono la mChina.
Hapo umenena, China ubora wa bidhaa unaendana na kile utakachokuwa tayari kulipia, you get what you pay forNami nimefuatilia post yako ili nione ukizungumzia technical aspects za hayo magari uliyoweka kama reference lakini nakuta umeishia kuonesha bei tu!! Ni kama unajaji "ubado" wa Uchina kwa kuangalia bei!...
Tanzania gani unayozungumzia Mkuu??? Kwa mwendo tulio nao huu naamini ifikapo mwaka 30021 bado tutakua tunatumia jembe la mkono la mChina.
Wao wanajararibu, akina sie je?china imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa dunian...
Tesla ya china 10mWao wanajararibu, akina sie je?
Wabongo mmetoa nini paka karne hii mzee?china imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa duniani.
ila hawa watu washukuru bila nchi za ulaya na mataifa makubwa kuogopa ujila wa mishaara mikubwa kwa ajili ya viwanda vyao.ndio wakapeleka china ili kuweza kupata urahisi wa uzalishaji...
china imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa duniani.
ila hawa watu washukuru bila nchi za ulaya na mataifa makubwa kuogopa ujila wa mishaara mikubwa kwa ajili ya viwanda vyao.ndio wakapeleka china ili kuweza kupata urahisi wa uzalishaji
Umemjibu vizuri. Wivu unawasumbua sana vijana wa bongo. Kitu ambacho kipo wazi tu mtu anakataa.Au sio....
Copy...paste then modify hata hao wasio wachina wanafanya sana.
Sema unawaonea wivu wachina tu...
Wamefika mwezini kwa teknolojia hiyo hiyo ambayo unawazarau. Na wanakutengeneza hata mifereji hapo unapokaa.china imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa duniani.
ila hawa watu washukuru bila nchi za ulaya na mataifa makubwa kuogopa ujila wa mishaara mikubwa kwa ajili ya viwanda vyao.ndio wakapeleka china ili kuweza kupata urahisi wa uzalishaji...
Wachina usiwachukulie powa- vitu vyote kuanzia gari,hiyo Iphone uliyonayo,hizo spea zinazounda Tesla cars,Lambogin etc.china imekuwa sehemu kubwa ya vitu vingi vinavyo zalishwa na kusambazwa duniani.
ila hawa watu washukuru bila nchi za ulaya na mataifa makubwa kuogopa ujila wa mishaara mikubwa kwa ajili ya viwanda vyao.ndio wakapeleka china ili kuweza kupata urahisi wa uzalishaji...
Ngoja tumaliziane na Chadema kwanza.Wao wanajararibu, akina sie je?