jamani wadada turidhike na jinsi mungu alivyotuumba,kama mtu unalo unalo tu na kama mtu huna huna tu hata utumie madawa haisaidii sana sana kujitafutia maradhi ya ajabu ajabu tu.kwanza uzuri wa mwanamke ni tabia,mwanamke ukiwa na tabia njema utamvutia kila mtu.halafu hawa wachina wanataka kutumaliza,mbona wao migongo kama meza ya kupigia pasi lkn hawaangaiki kutumia wanatuletea sisi.