Wachina wacharanga Watanzania mapanga ndani ya Tanzania

Naipenda Sana Kenya 🇰🇪 nchi ambayo raia analala chini, ancharazwa mboko za kutosha na Kaka Mchina 🇨🇳 Kisha proudly anapiga picha ya video na kuirusha mtandaoni
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Comment kwenye huu zimeniburudisha. Kuna mtu alisema humu kwenye jukwaa hili kwamba urafiki wa wachina na watanzania ni wa zamani sana. [emoji38]
 
Hapo ingekuwa kenya hao wachina wasingekamatwa,matokeo yake serikali ya kenya ingeandika tangazo la kuwafukuza wachina waliohusika warudi kwao
Sasa hilo tangazo wasipo liona na kulisoma basi hakuna kuondoka!
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Comment kwenye huu zimeniburudisha. Kuna mtu alisema humu kwenye jukwaa hili kwamba urafiki wa wachina na watanzania ni wa zamani sana. [emoji38]
Ila ilipofika ni Bagamoyo port urafiki ukapotea ghafla.
 
Aisee bora kucharangwa na mapanga kuliko mwanaume kugeuzwa na wanaume wenzio km Wakenya wanavyogongwa kule Uganda ni aibu sana mnatupa EA[emoji3][emoji3]
 
Aisee bora kucharangwa na mapanga kuliko mwanaume kugeuzwa na wanaume wenzio km Wakenya wanavyogongwa kule Uganda ni aibu sana mnatupa EA[emoji3][emoji3]
Unapigwa mapanga na kungfu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wakati ulifanya kuenda kwake kw ajili ya kamare tu.halafu watanzania wanawasaidia..
Kweli tanzania na china ni marafiki[emoji1787][emoji1787]
 
Unapigwa mapanga na kungfu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wakati ulifanya kuenda kwake kw ajili ya kamare tu.halafu watanzania wanawasaidia..
Kweli tanzania na china ni marafiki[emoji1787][emoji1787]
Hehehehehe kwahyo ww ukifumaniwa na mke wa mtu utakubali kupigwa panga au na ww kuliwa? Tunajua Wakenya mtakubali kuliwa ndogo ila mTz bora apigwe panga kuliko kugeuzwa [emoji3][emoji3]
 
Heri kupigwa kungfu ama mapanga maana hapo ni vita sio adhabu na kwa kweli michina ipo juu kwa kungfu na kutumia swords kuliko vijana wa tandale.. Mikenya humu inatandikwa na wachina viboko kama wanafunzi wa darasa LA saba..Yani unaambiwa uteremshe lisuruali lako,ushike ukuta,mchina akutembelee matakoni? yote haya ukiwa umekaa kimya bosi wako asikufute kazi!! - Ukoloni mamboleo
 
Si afadhali hawa watz wamepigana kuliko wale wakenya walipigwa kama watoto wadogo bila hata kurudisha ngumi moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…