Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Asante kwa taarifa ila duh, mbona maswali mengi kuliko taarifa yenyewe. Imekuwaje ikufikie haraka hivyo mkuu, yaani baada ya dk 30 tu? hata polisi wengine nina uhakika hawaju kilichotokea. Anyway, thanks for taarifa. gnt
muzngu aliambiwa ukija bongo wanapenda sana kuuliza hata kama ukiwauliza swali
alipofika airport akamuuliza porter mmoja wa swissport nasikia tanshania mnapenda sana kuuliza maswali kabla hamjajibu
akajibiwa nani kakakwambia???
usishangae hili mkuu
gudnyt
naona mwenzetu eme-specialise taarifa za wizi, maana kuna tarifa ya kuibiwa simu airport uliziweka hapa a week ago or so.
naona mwenzetu eme-specialise taarifa za wizi, maana kuna tarifa ya kuibiwa simu airport uliziweka hapa a week ago or so.
Kuna polisi alikuwa anasema lazima watakuwa wachaga hao kama ni magari mapya -- akasisitiza hao wachagga watakuwa wamewapa laki 3 hivi au 2 walinzi na kwenda kuwatupa msituni huko na kuishia na magari
Jamaa anapenda umaarufu AKA Sifa za kijinga......huyuy mshikaji anajifanyaga mwera tena wale wanaoitwa wapelelezi yeye kila he pretend anajua.......Tunafanya kazi kwa viwango yoyote anayetaka kunitafuta aje anitafute anipate tunawataka sana watu hao wanaojifanya wanaweza kufanya lolote pale wanapoambiwa ukweli pale wanapoambiwa umekosea pale wanapokosolewa
well yes am yona maro , naishi kimara , njoo tu