Arabi Nanjewa
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 325
- 410
mbumbumbu kwenye ubora wao, hio jezi ya bonge ni bran ya mwaka ganiIyo pc ya 2007 bn
Tulieni tuwabutue na hao Babu zenu nkana,Na sisi kama mashabiki wa NKANA FC wa mkopo tulikuwa tunalinda uwanja ndipo wachina wenye nguo nyekundu wakaingia na kuanza kuchimba mashimo na kufukia Nyasi Bandia uwanjani.
[emoji23][emoji23]
Tutatulia kama tulivyotulia mechi ya Kitwe...Tulieni tuwabutue na hao Babu zenu nkana, View attachment 974609
Hapo kesho no sawa nankuangalia CD ya Mr Bean.
Yaani BWALYA vs WAWA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mbona ya kitambo.Jamani kumbe tulisema tuwangoje Taifa kwa kuwa kuna fursa ya kukata Nyasi kumbe...[emoji23][emoji23]View attachment 974551
Picha ya zamani sana hyoAngalia kwa makini iyo picha....
Hakuna pahala.wameandika tarehe...[emoji23][emoji23]
Anafunga kamba za viatuThibitisha hii kauli ili wengi tuamini. Walikuwa wanafanyaje hapo hiyo 2007?
Umemaliza mchezo πππThibitisha hii kauli ili wengi tuamini. Walikuwa wanafanyaje hapo hiyo 2007?
Nkana hao ujue ShadeeyaKama kiatu kinafungwa hivi basi sawa.
View attachment 974661
2007 simba walikuwa na sportpesa??Iyo pc ya 2007 bn
Najua hakuna atakayekuja na jibu la maana hapa.Umemaliza mchezo πππ