Wachina wapaka rangi magari wanapatikana wapi?

Wachina wapaka rangi magari wanapatikana wapi?

mwaega

Senior Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
195
Reaction score
254
Habari wana jamii forum, nasikia wachina wanapaka rangi vizuri sana magari na kurudisha katika hali yake ile ile na ubora ule ule wa gari lako.
Je kwa Dar wanapatikana wapi?
Ni kweli wako vizuri sana ?
images.jpg
 
Ofcourse wako vizuri ila sio wote,mchina ana vitu viwili anafanya 1st anatumia rangi quality ya juu pia booth zao ziko vzr..pili hua ni wajanja sana kama gari maybe imepata ajali bumber,mlango hawanyooshi wanachofanya wanaweka bumber jipya au mlango then ndo wanapiga rangi..kitu kinanyooka...ndio maana very expensive
Wachina watalaam wapo pale opp na shell ya sayansi,wengine wapo kijitonyama baada ya Bar ya miti mirefu, tofauti na wachina kuna hawa wakali pia
Ttr
Azam upholstery
Safari automotive
Mxg near kairuki
 
Wabongo consistency ndio tatizo anaweza leo akapiga rangi imenyooka,kesho akazingua....garage nyingi nimefuatilia wanapiga rangi sehemu ya uwazi ,kuna vumbi wenzetu wana booth wana control joto,kama kuna garage iko arusha inaitwa Milano wako vizuri sana
 
Ofcourse wako vizuri ila sio wote,mchina ana vitu viwili anafanya 1st anatumia rangi quality ya juu pia booth zao ziko vzr..pili hua ni wajanja sana kama gari maybe imepata ajali bumber,mlango hawanyooshi wanachofanya wanaweka bumber jipya au mlango then ndo wanapiga rangi..kitu kinanyooka...ndio maana very expensive
Wachina watalaam wapo pale opp na shell ya sayansi,wengine wapo kijitonyama baada ya Bar ya miti mirefu, tofauti na wachina kuna hawa wakali pia
Ttr
Azam upholstery
Safari automotive
Mxg near kairuki
Sasa unasemaje huo ni ujanja as if ni kitu kibaya. Kiutaalamu inatakiwa gari ikipata damage, then kile kifaa au sehemu yenye damage inatakiwa kuwafanyiwa replacement ili iweze kukaa vema na gari kuwa na muonekano wake wa awali.
 
Nimesema ni wajanja sana(sifa) hakuna negativity yoyote ukisoma vizuri boss!! Kwa mazingira yetu wabongo sio wote wanaweza afford hivyo,pia inategemea damage ya gari kama ni inawezekana kunyoosha basi unanyoosha mkuu!!
 
Back
Top Bottom