Wachina watumia mvua ya Lowassa kupambana na Ukame

Wachina watumia mvua ya Lowassa kupambana na Ukame

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
1660920373671.png

Wataalamu wa kichina kwenye jimbo la Hubei huko China wakirusha Roketi yenye Kemikali zenye uwezo wa kusababisha mawingu ya Mvua kwa lengo la kuchochea unyeshaji wa mvua kutokana na ukame unaoyakabili maeneo mengi ya nchi hiyo. Tukio hilo limefanywa tarehe 16/08/2022.

Mwaka 2007 Lowassa alikuja na wazo kama hili akazomewa, na kuitwa mzushi.
 
Mbona kama mvua tayari inanyesha in the background.. mbona reaction ya hii shughuli ni ya haraka hivi!!
 
Yaani hiyo pick up ndo inarusha makombora ya kuleta mvua?hawa jamaa ni waongo sana.
 
Back
Top Bottom