Wachokonozi ndiyo vijana pekee Tanzania waliokataa kazi ya uchawa

Wachokonozi ndiyo vijana pekee Tanzania waliokataa kazi ya uchawa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kumeibuka tabia ya aibu, tabia ya kishenzi kwenye jamii ya vijana wa Kitanzania. Vijana wamekuwa kama walemavu, wameamua kutumia mitandao ya kijamii kusifia wanadamu wenzao ambao huwapa unga na mboga. Ni aibu.

Lakini ni tofauti na vijana hawa, huwezi kuona kwenye video zao wakimsifia mtu. Hilo halipo, kwenye blue wataita blue na si vinginevyo.

WACHOKONOZI

 
Kumeibuka tabia ya aibu , tabia ya kishenzi kwenye jamii ya vijana wa Kitanzania. Vijana wamekuwa kama walemavu, wameamua kutumia mitandao ya kijamii kusifia wanadamu wenzao ambao huwapa unga na mboga .
Ni aibu.
Lakini ni tofauti na vijana hawa, huwezi kuona kwenye video zao wakimsifia mtu. Hilo halipo, kwenye blue wataita blue na si vinginevyo .
WACHOKONOZI
Kusifia kila kitu ni kuilemaza Akili na Utaishi wa mtu,yaani kujizika mwenyewe kifkra,kiroho,kimwili na muonekano kwa ujumla.Na pia wanakiharibu kizazi Chao kwa Upumbavu wao.
 
Majority ya machawa huaga ni degree holders; hilo ndio linalo niudhi mi binafsi, halafu aina ya watu kama hawa kina WACHOMOZI huaga wana elimu za kawaida sana, a very interesting thing.
Kwamba the more you educate your brain, the more the stupidity is getting into your head
 
Soon utasikia wamepewa kesi ya kudharau mamlaka
 
Majority ya machawa huaga ni degree holders; hilo ndio linalo niudhi mi binafsi, halafu aina ya watu kama hawa kina WACHOMOZI huaga wana elimu za kawaida sana, a very interesting thing.
Kwamba the more you educate your brain, the more the stupidity is getting into your head
Selfishness ndiyo tatizo
 
Back
Top Bottom