HahahaaaHawa majamaa Huwa siwaelewi, Kila kitu wao wapo opposite mfano kwenye ndio wao ni hapana,,, kwenye utajiri wao wapo upande wa umaskini,,, kwenye dini wao wapo upande wa upagani....na wanatetea hoja zao kweli kweli,,, km huna elimu na msimamo unaweza kudondoka kwenye kile wanacho kiamini wao na sio unacho amini wewe
Wana IQ ndogo hata wanaowafollow Wana IQ ndogoHawa majamaa Huwa siwaelewi, Kila kitu wao wapo opposite mfano kwenye ndio wao ni hapana,,, kwenye utajiri wao wapo upande wa umaskini,,, kwenye dini wao wapo upande wa upagani....na wanatetea hoja zao kweli kweli,,, km huna elimu na msimamo unaweza kudondoka kwenye kile wanacho kiamini wao na sio unacho amini wewe
Sijajua, labda Rozela atusaidieWana IQ ndogo hata wanaowafollow Wana IQ ndogo
Tumuulize The redemeerWana IQ ya ngapi?
Wewe IQ yako inasoma ngapi?Wana IQ ndogo hata wanaowafollow Wana IQ ndogo
Uchaguzi wa Miss TanzaniaUchaguzi gani