Wachumba wasiolingana kielimu

Nimeolewa mbumbumbu form four ila yeye alikuwa msomi, kanisomesha mpaka sasa nina elimu ya juu na ninajivunia, mapenzi sio elimu ndugu zangu ukimpenda mtu kama alivyo vingine kuvipata ni kitu rahisi sana.

this is a different issue. Swali ni angeweza kubaki na wewe na elimu ya form 4?
 
mnamaanisha elimu? au idadi ya madarasa alizoudhuria mtu? kama ni elimu yana mchango mkubwa katika mahusiano, ila kama ni idadi ya madarasa kazi ipo.
 
Nimeolewa mbumbumbu form four ila yeye alikuwa msomi, kanisomesha mpaka sasa nina elimu ya juu na ninajivunia, mapenzi sio elimu ndugu zangu ukimpenda mtu kama alivyo vingine kuvipata ni kitu rahisi sana.
Nadhania hapa ndio umuhimu wa kutokuwa na gap kubwa umeonekana waziwazi, kwa sababu isingekua muhimu angekuacha bila kukusomesha mkachapa mwendo, sio wote wenye nafasi hizo za kuweza kuwasomesha wenza wao.
 

Nawe bwana naona umuzidisha
Kidogo hapo mwisho..
Class ya mtu ndo ikoje
Na ziko ngapi?..

je hii ndo yale maduu ya huko mashiriki
Ya mbali?
 
Nawe bwana naona umuzidisha
Kidogo hapo mwisho..
Class ya mtu ndo ikoje
Na ziko ngapi?..

je hii ndo yale maduu ya huko mashiriki
Ya mbali?

class ya mtu ni ishu kama values! Kwangu mimi naweza kuvipa vitu kadhaa wa kadhaa kipaumbele! Lakini mwenzio yeye asione hivyo kuwa ni vipaumbele! unaona hilo? kwa mfano: how you do things, etc...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…