Wachumba watatu.





Mn......!hata kwa huyo mlupo?
 
Ama, hicho ndo cha msingi, lakini Paka Mweusi kakosea kama mm na ww tunavyokosea,
lakini bado anayo nafasi ya kuchagua kuingia na kasoro kwenye ndoa, au kurudi kwa Mungu ampe Mke.


Kama ni kasoro, tayari wote 3 anaowachakachua kisaikolojia wanazo kwa vile wote wana culture tofauti na Paka; hivyo kutoelewana katika mambo madogo na makubwa ni inevitable.

Hakuna mwandamu aliyekamilika, kuchamba kwingi mwisho kushika mavi.
 
Mn......!hata kwa huyo mlupo?

Unaona paka mweusi eeh, kwa kuweza kuziona hizo kasoro tu, na kushindwa kuchukuliana nazo,
Hapo hakuna mke wako aisee!! WE sepa tu, mwombe Mungu akupe mke.
 
Kama ni kasoro, tayari wote 3 anaowachakachua kisaikolojia wanazo kwa vile wote wana culture tofauti na Paka; hivyo kutoelewana katika mambo madogo na makubwa ni inevitable.

Hakuna mwandamu aliyekamilika, kuchamba kwingi mwisho kushika mavi.

Sasa unataka kusema nini Ama, mwenzio anaomba ushauri, kasoro ameziona, ameshindwa kuchukuliana nazo.
Akili yake imefika mwisho, hata ukimtukana sana haisaidii, mpe njia ili asiangamie basi.
 

muoe huyo wa tatu ambaye ni sex addict...naamini hutamuangusha, kama ukishindwa tutakusaidia kumpa raha...
 
Asante mama kwa comment yako,ila ukweli ni kuwa sija do na hata mmoja,ni zile date to za kimagharibi na kukaribisha mtu nyumbani kupata coffee.Nazingatia nadhiri yangu ya kuto do mpaka baada ya ndoa.

Huyo sex addict kwa hiyo kuna mahali anapata daily bread wakati anasubiri umalize kura za maoni eeh? Mbombo ngafu
 
mchague mvivu...asi utakua houseboy tu bwana shda iko wap!
 
Hivi mpwa wewe si ulishamvoisha dadaangu pete huku ho$e? haya hao wanakujaje tena? unataka nikueleweje sasa? nikaseme nyumbani? yaani ufadhili ni wa wakwe zako na sasa umeanza tabia za namna hiyo! kama vipi nimruhusu atafute kidume kingine!!
 
Hivi mpwa wewe si ulishamvoisha dadaangu pete huku ho$e? haya hao wanakujaje tena? unataka nikueleweje sasa? nikaseme nyumbani? yaani ufadhili ni wa wakwe zako na sasa umeanza tabia za namna hiyo! kama vipi nimruhusu atafute kidume kingine!!




Mpwa si unajua kuwa sisi tunaruhusiwa kuoa mpaka wanne,huyo wa nyumbani naye bado yuko kwenye listi tena yeye ndio first priority yangu.
 
Hivi mpwa wewe si ulishamvoisha dadaangu pete huku ho$e? haya hao wanakujaje tena? unataka nikueleweje sasa? nikaseme nyumbani? yaani ufadhili ni wa wakwe zako na sasa umeanza tabia za namna hiyo! kama vipi nimruhusu atafute kidume kingine!!

ahaaaa kumbe hicho ndo kiini cha tatizo la Paka M,
Acha kabisa Paka, rudi kwa mchumba ako,

Ndo maana unaona mabaya mengi kuliko mema.
 

hivi bado tu mnaoaga wazungu,hii midude haifai kuoa ni ya kutafutia paper zikitulia unalala mbele,shauri yako kaka
 
Cha muhimu hapo ni kuoa aliyekuwa tayari kuolewa na kubeba majukumu ya umama na si vinginevyo kama wote bado hawako tayari basi tafuta mke aliyaamua kuolewa kwaajili ya kuishi katika maisha ya shida na Raha! Uvivu, na tabia nyingine ndizo tabia za wanawake walio wengi hivyo mara baada ya kuolewa na kujua majukumu yake basi hapo hata yeye hubadilika na kutimiza majukumu yake na si vinginevyo!
 
Mpwa si unajua kuwa sisi tunaruhusiwa kuoa mpaka wanne,huyo wa nyumbani naye bado yuko kwenye listi tena yeye ndio first priority yangu.

Alaaaa we Paka, basi oa mmoja kwanza, then wafatie wengine, au unaoa wote kwa mpigo mwenzetu,
Daaaaaa sema hii culture mie si ifahamu vizuri.

Na, kumbe we waweza oa akikushinda unatoa Talaka tu eeh!!
Mi nimezoea ile ya alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitanganishe.
 
hivi bado tu mnaoaga wazungu,hii midude haifai kuoa ni ya kutafutia paper zikitulia unalala mbele,shauri yako kaka



Tunatofautiana kimtazamo kaka kuna wengi wameoa wazungu na wamezeeka nao katika mapenzi ya kweli,hata nyumbani wako wengi tu,mimi sitafuti karatasi, natafuta mwenza wa maisha na mama wa watoto wangu mkuu.Nafuata nyayo za hayati Dr Remmy.
 



Tuko pamoja hapo mama huyu ameniandikia kiutani na mimi nimemjibu kiutani vilevile,ngoma droo.
 
Mpwa si unajua kuwa sisi tunaruhusiwa kuoa mpaka wanne,huyo wa nyumbani naye bado yuko kwenye listi tena yeye ndio first priority yangu.

haaahaaaa nimekubali... oa wote si imani yetu mwisho ni wanne? au umeshamsahau babu DANGER wa Kenya? alikua nao 80 na kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…