Wachumba watatu.

haaahaaaa nimekubali... oa wote si imani yetu mwisho ni wanne? au umeshamsahau babu DANGER wa Kenya? alikua nao 80 na kidogo




Sawasawa Mpwa naona after ten years nitakuwa mdogo wake Akuku Danger....
 
Sawasawa Mpwa naona after ten years nitakuwa mdogo wake Akuku Danger....

Hapo sawa ila ushauri wangu ni kua uweke na kachumbari kidogo.. yaani mwarabu, mhindi, mweusi, mzungu, mrusi, yessssss hapo utakua umemzidi babu Danger
 
Hapo sawa ila ushauri wangu ni kua uweke na kachumbari kidogo.. yaani mwarabu, mhindi, mweusi, mzungu, mrusi, yessssss hapo utakua umemzidi babu Danger




Hao watu nina aleji nao kiasi kwamba hata siku nikiwaona wanapigana na nyoka basi mimi nitamsaidia nyoka awaume vizuri.
 
Tuko pamoja hapo mama huyu ameniandikia kiutani na mimi nimemjibu kiutani vilevile,ngoma droo.

Ahaaaa ok, gud, angalia usije ukaingia mkenge bwana.
Bora kukaa peke ako kuliko kuvumilia mwiba unaokuchoma 24/7.
 



Oa mmbea baba,mwanamke umbea kusutwa sunna ati.
 
wachana nao wote njoo bongo tumekuandalia kimwana wa nguvu
 
Kamata wote weka ndani na utakuwa na variety. Watakusaidia sana siku unaumwa na uko kitandani maana kila ukiguka unamuona mvivu, upande mwingine unamuona mbea kama vile katoka kusutwa na unamalizia kwa anayeendekeza amri ya sita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…