Mwigulu kakasirika ".....hiii ni field yangu na ijua vizuri......." cha ajabu hajajibu hoja hata moja.Ila mawaziri wa awamu hii ni wakali Mwezi wa kwanza alipanwa kuhusu mgao na bwawa akadai wanamuonea, Nape nae kwa ukali akawa anaya tetetea mamkampuni ya simu kuhusu bando. Waziri wa kilimo kabisa yeye nae ana uchochoro wa "......Vita ya Ukraine na Russia.......kovid......ukame...."
Yaani hawachukui hata mda kutafakari maswali wanayo ulizwa bungeni, wanabaki kutia huruma au kuwa wakali. Mbona Mkenda kuhusu matokea jamaa alijibu vizuri kabisa,mimi mwenye kuna vitu nikavipata kupitia yy.