Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kupitia kutafutatafuta maarifa ili kuwa wa kisasa (up-to-date) kulingana na matakwa ya dunia hii ya mabadiliko (dynamic world), nimekutana na jambo la kiuchumi ambalo sijaelewa tafsiri yake kitaalam na ambalo ninaomba kueleweshwa na weledi wa tasnia ya uchumi. Ni hivi:
1. Uchumi wa China (moja ya chumi kubwa duniani) unakuwa kwa 5.1%
2. Uchumi mkubwa wa Afrika ambao ni Nigeria unakuwa kwa 3.3%
3. Uchumi wa Znz unakuwa kwa 7.1%
4. Uchumi wa Tz (Bara) unakuwa kwa 6% alipouacha Magufuli.
Utata ninaopata ni huu:-
Je, ina maana Znz na Tz (Bara) zinafanya vizuri kiuchumi kuliko Uchina na Nigeria?
Msaada tafadhali.
1. Uchumi wa China (moja ya chumi kubwa duniani) unakuwa kwa 5.1%
2. Uchumi mkubwa wa Afrika ambao ni Nigeria unakuwa kwa 3.3%
3. Uchumi wa Znz unakuwa kwa 7.1%
4. Uchumi wa Tz (Bara) unakuwa kwa 6% alipouacha Magufuli.
Utata ninaopata ni huu:-
Je, ina maana Znz na Tz (Bara) zinafanya vizuri kiuchumi kuliko Uchina na Nigeria?
Msaada tafadhali.