Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Hapana.Kupitia kutafutatafuta maarifa ili kuwa wa kisasa (up-to-date) kulingana na matakwa ya dunia hii ya mabadiliko (dynamic world), nimekutana na jambo la kiuchumi ambalo sijaelewa tafsiri yake kitaalam na ambalo ninaomba kueleweshwa na weledi wa tasnia ya uchumi. Ni hivi:
1. Uchumi wa China (moja ya chumi kubwa duniani) unakuwa kwa 5.1%
2. Uchumi mkubwa wa Afrika ambao ni Nigeria unakuwa kwa 3.3%
3. Uchumi wa Znz unakuwa kwa 7.1%
4. Uchumi wa Tz (Bara) unakuwa kwa 6% alipouacha Magufuli.
Utata ninaopata ni huu:-
Je, ina maana Znz na Tz (Bara) zinafanya vizuri kiuchumi kuliko Uchina na Nigeria?
Msaada tafadhali.
Mhhh uchumi unakuwa kwa asilimia 50% 😁😁mimi sio mchumi lakin ninavyoelewa ni
mfano mapato ya China ni 10B 2022 na 2023 wamepata 10.5b maana yake wamekuwa kwa 5%
Tanzania 2022 mapato ni 1M na 2023 mapato ni 1.5m means tumekuwa in 50%
hii formula inatumika pia kwenye biashara ku rate ukuaji wa kampuni
Kwani jamaa si katoa mfano tuMhhh uchumi unakuwa kwa asilimia 50% [emoji16][emoji16]
Yaan 1million to 1.5milion ni ongezeko la 50%
Namimi nipeleke iki chuo nikapate TRAB and TRAT zangu[emoji16]
Sasa mfano au ndio kaharibu kabisa?Kwani jamaa si katoa mfano tu