Kisonono
Member
- Sep 23, 2016
- 29
- 21
“ Serikali inafikiria kuweka akiba yake Benki Kuu kwa kutumia madini ya Tanzanite.”
Hayo ni maneno ya Waziri mwenye dhamana ya fedha Dkt Philipo Isdor Mpango aliyoyatoa Novemba 2016, ikiwa ni kujiaanda kutekeleza agizo la Mhe. Mtukufu Raisi Dkt. John Pombe Magufuli alilolitoa wakati alipofanya ziara yakushtukiza wizara ya Fedha na Mipango..
Nimeona niwashirikishe wana jamvi najua kuna wachumi wazuri hapa watanisaidia kuelewa....!
Hayo ni maneno ya Waziri mwenye dhamana ya fedha Dkt Philipo Isdor Mpango aliyoyatoa Novemba 2016, ikiwa ni kujiaanda kutekeleza agizo la Mhe. Mtukufu Raisi Dkt. John Pombe Magufuli alilolitoa wakati alipofanya ziara yakushtukiza wizara ya Fedha na Mipango..
Nimeona niwashirikishe wana jamvi najua kuna wachumi wazuri hapa watanisaidia kuelewa....!