The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
hongereni sana.
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
hongereni sana.
Hii thread yako ungeipeleka kwenye forum ya pongezi. maana unaweza kukuta unarudisha hayo mambo ya pumba ya zamani.
Ebu nilimishe
- mfumuko wa bei nini ( mm sio mchumi nieeezee kwa lugha nyepesi ?
- Tanzania umefikia % ngapi?
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
hongereni sana.
wewe umejiunga novemba sasa hiyo zamani unayosema ilikuwa ni lini