Wachungaji/manabii huenda milimani kufanya Nini huko??

Wachungaji/manabii huenda milimani kufanya Nini huko??

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Wakuu,

Saivi kumeibuka mtindo (fasheni ) wa Hawa watumishi/manabii nk. Kuenda milimani, nimeshindwa kuelewa Huwa wanaenda kufanya Nini huko??

Na kwa maelezo ( kupitia tv/radio mbalimbali za masuala ya Imani ) wanakaa huko kuanzia wiki Moja mpaka mwezi, Kuna Siri Gani huko milimani??, na ni milima IPi hiyo Haina jina??

Tahadhari, sipo hapa kukashifu Imani ya mtu ila ni hoja TU nimeweka mezani kwa lengo la kujuzwa na kupata maarifa.

Nawasilisha
 
Mbinu zakuvuta wateja wanaoangamia kwakukosa maarifa wasogee karibu na hudumaa ya mafutaa,chumvi,vitambaa na maji yanayoombewa mlimaniii 😀😀😀

Ila wajinga hawaishii jmn
 
Wakuu,

Saivi kumeibuka mtindo (fasheni ) wa Hawa watumishi/manabii nk. Kuenda milimani, nimeshindwa kuelewa Huwa wanaenda kufanya Nini huko??

Na kwa maelezo ( kupitia tv/radio mbalimbali za masuala ya Imani ) wanakaa huko kuanzia wiki Moja mpaka mwezi, Kuna Siri Gani huko milimani??, na ni milima IPi hiyo Haina jina??

Tahadhari, sipo hapa kukashifu Imani ya mtu ila ni hoja TU nimeweka mezani kwa lengo la kujuzwa na kupata maarifa.

Nawasilisha
Hao watu wana mengi nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom