Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Wakuu,
Saivi kumeibuka mtindo (fasheni ) wa Hawa watumishi/manabii nk. Kuenda milimani, nimeshindwa kuelewa Huwa wanaenda kufanya Nini huko??
Na kwa maelezo ( kupitia tv/radio mbalimbali za masuala ya Imani ) wanakaa huko kuanzia wiki Moja mpaka mwezi, Kuna Siri Gani huko milimani??, na ni milima IPi hiyo Haina jina??
Tahadhari, sipo hapa kukashifu Imani ya mtu ila ni hoja TU nimeweka mezani kwa lengo la kujuzwa na kupata maarifa.
Nawasilisha
Saivi kumeibuka mtindo (fasheni ) wa Hawa watumishi/manabii nk. Kuenda milimani, nimeshindwa kuelewa Huwa wanaenda kufanya Nini huko??
Na kwa maelezo ( kupitia tv/radio mbalimbali za masuala ya Imani ) wanakaa huko kuanzia wiki Moja mpaka mwezi, Kuna Siri Gani huko milimani??, na ni milima IPi hiyo Haina jina??
Tahadhari, sipo hapa kukashifu Imani ya mtu ila ni hoja TU nimeweka mezani kwa lengo la kujuzwa na kupata maarifa.
Nawasilisha