Kama unakimbilia hilo la kupigwa mawe na hili chini
maana mshahara wa dhambi ni """mauti""""' inakuwaje hiyo??
Hata kama mshahara wa dhambi ni mauti, haijasemwa wenye dhambi asiozwe maana mwishowe hakuna atakayeozwa.
Huku kujifanya holier than thou ni ufarisayo tu.Kila mtu ana skeleton kwenye closet lake, kama si mimba basi watu wamejuana kimwili bila kupata mimba, wengine wamekuwa na affairs na watu wengine, wengine wamekuwa na affairs na waume/ wake za watu.
Ukisema wenye mimba wasiozwe what's next? Utaenda kupima bikira? Maana basically kama unaongelea suala la kutojuana kimwili kabla ya ndoa issue ni ile ile, mwenye mimba na asiye bikira lao moja.Na kama unasema bikira inaweza kutoka yenyewe, hata mimba inaweza kupatikana bila kujuana kimwili kwa mujibu wa biblia.
Kwa hiyo huu ufarisayo wa kujifanya sisi wasafi sana na wenzetu wana dhambi sana hauko katika doctrine ya Kristo.Kwa mujibu wa wakristo Kristo hakuja ku judge, alikuja ku redeem, na siku ya judgement itakuja. Who are we to judge in such a cruel way?
This is akin to the spirit of the Spanish Inquisition and similar witchhunts. Halafu wale wanaojifanya kuwa staunch opposers wa haya mambo ndio worst offenders.
Kama yule senator Larry Page alivyokuwa anamrushia mawe Bill Clinton kwa sababu ya infidelity, baadaye akaja kukutwa ana solicit gay sex kwenye public restroom.Ditto Kwa yule gavana wa South Carolina. Kwa hiyo hujafa hujaumbika, acha ku judge, especially kwa mambo ambayo hayana biblical ground.