Wachungaji wa Karne hii wakishiba sadaka wanaungana na dola na tawala onevu ili kulinda maslahi yao

Wachungaji wa Karne hii wakishiba sadaka wanaungana na dola na tawala onevu ili kulinda maslahi yao

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ni Jambo la kuhuzunisha Sana kuona wachungaji na viongozi wa dini Mambo wanayoyatetea.

Kiongozi wa dini anaweza kuona maovu yanafanyika kwenye Jamii na asiseme kitu atakaa kimya hatakemea hususani Kama uovu umetendwa na wenye mamlaka atavaa miwani ya mbao.

Yuko radhi mwaka mzima ahubiri ubaya wa kutokutoa fungu la kumi lakini kamwe hatainyooshea vidole serikali onevu na kandamizi.

Nchi za afrika baadhi zimefanya chaguzi na nyingine zinatarajia kufanya.Kuna dhuluma na hujuma zinapangwa na kufanywa na wenye mamlaka hapa hutawasikia wachungaji na maaskofu fake wakitahadharisha watakaa kimya.

Wako radhi kununua vipindi kwaajili ya kuwapiga vijembe watu wanaoikosoa serikali utadhani wao ni wasemaji wa serikali lakini hawako tayari kukemea hujuma zinazofanywa dhidi ya wanyonge.

MKISHIBA SADAKA ZA KONDOO MNAJISAHAU ANYWAY NI UJINGA WA KONDOO LAKINI
 
Kuna mchungaji Ana jina la kinyakyusa Yuko maeneo ya river side Mimi ningekuwa muumini wa kanisa lake nisingekanyaga Tena kanisani kwake nilimsikia ujinga anaoongea kupitia channel moja iliyonunuliwa na CCM aisee nilishangaa Sana kama yule ni mchungaji .

Kondoo amkeni sadaka zenu zinatumiwa vibaya .
 
Chadema mtagombana na kila na kila taasisi hawa wote walikuwa upande wenu mlipokuwa kwenye mstari sasa msilielie muache kufukiri kwa kutumia makalio yenu tumieni vichwa
Uzuri ni kwamba inaeleweka wazi ukimtetea mnyonge unamkopesha Mungu ukimtetea mwenye mamlaka tena kwa uhalifu wawazi basi kuna mradi utalipwa kiufupi unafanya biashara ya propaganda kupitia madhabahu ya mungu.
 
Uzuri ni kwamba inaeleweka wazi ukimtetea mnyonge unamkopesha Mungu ukimtetea mwenye mamlaka tena kwa uhalifu wawazi basi kuna mradi utalipwa kiufupi unafanya biashara ya propaganda kupitia madhabahu ya mungu.
Kina gwajima ,kakobe na mwingira walipokuwa wanaingia hadi kwenye majukwaa yenu mliwaita mitume leo nawaita mitume uchwara hamna shukrani
 
Siku hizi mnamisemo wenu mmekaririshana

HUYU KIONGOZI ANAIGWA NA DUNIA NZIMA.

MUNGU KATULETEA HUYU RAIS WATU HAWA NI NADRA TUMTUMIE.

NAMPONGEZA RAIS KWA KUISHINDA KORONA NA MABEBERU.

JUHUDI ZAKE NI ZA MFANO DUNIA NZIMA .

SHUJAA WETU....

Na utopolo mwingine wa kinafikinafiki ujinga mtupu.

Tungeni sala msali kwenye nyumba za ibada tujue tuna masiya mpya bongoland.
 
Siku hizi mnamisemo wenu mmekaririshana

HUYU KIONGOZI ANAIGWA NA DUNIA NZIMA.

MUNGU KATULETEA HUYU RAIS WATU HAWA NI NADRA TUMTUMIE.

NAMPONGEZA RAIS KWA KUISHINDA KORONA NA MABEBERU.

JUHUDI ZAKE NI ZA MFANO DUNIA NZIMA .

SHUJAA WETU....

Na utopolo mwingine wa kinafikinafiki ujinga mtu .
Nabii wangu anaonekana hapo shauri yako
Screenshot_2020-05-28-00-52-10.jpg
 
Ni jambo la wazi kuwa wachungaji wengi katika awamu hii ya tano, wanajali zaidi matumbo yao, badala ya kufikiria mateso wanayopata waumini wao, kutokana na maonevu na kutotendewa haki, wanavyofanyiwa chini ya utawala huu wa kidhalimu
 
Kina gwajima ,kakobe na mwingira walipokuwa wanaingia hadi kwenye majukwaa yenu mliwaita mitume leo nawaita mitume uchwara hamna shukrani
Waliona kweli wakaitetea haki kwasasa mmewanunua na wamepotoka.
Waking lisu walivyo risasi sikutegemea Leo mtu asifie ujinga tena mnamsingizia Mungu uongo badala ya kuhoji kwa haki bila kunyamazishwa KWANINI LISU ALIPIGWA RISASI? BEN SANANE YUKO WAPI ? HAYA MASWALI LAZIMA YAJIBIKE KWA UFASAHA NDIO TUANZE KUWASIFU WAPAKWA MAFUTA VINGINEVYO BADO WAPENDA HAKI WA KWELI HAWATAINUA NDIMI ZAO WALA KUTUMIA MADHABAHU ZA BWANA KWA PROPAGANDA ZA KUMSIFU BINADAMU.
 
Tatizo hakuna ushahidi wa hilo biblia inaonya juu ya kumsimulia jirani yako uongo
Waliona kweli wakaitetea haki kwasasa mmewanunua na wamepotoka.
Waking lisu walivyo risasi sikutegemea Leo mtu asifie ujinga tena mnamsingizia Mungu uongo badala ya kuhoji kwa haki bila kunyamazishwa KWANINI LISU ALIPIGWA RISASI? BEN SANANE YUKO WAPI ? HAYA MASWALI LAZIMA YAJIBIKE KWA UFASAHA NDIO TUANZE KUWASIFU WAPAKWA MAFUTA VINGINEVYO BADO WAPENDA HAKI WA KWELI HAWATAINUA NDIMI ZAO WALA KUTUMIA MADHABAHU ZA BWANA KWA PROPAGANDA ZA KUMSIFU BINADAMU.
 
Hasa haya makanisa yanayomilikiwa na mtu mmoja. Ni feki feki na unafiki mkubwa .na watu bado wajazana huko . ni wachumia tumbo na wanafiki kabisa
 
Hasa haya makanisa yanayomilikiwa na mtu mmoja. Ni feki feki na unafiki mkubwa .na watu bado wajazana huko . ni wachumia tumbo na wanafiki kabisa
Mimi huenda kila siku
 
Muda
Tatizo hakuna ushahidi wa hilo biblia inaonya juu ya kumsimulia jirani yako uongo
Muda utaongea kwasasa mnaziba mianya Ila muda ni mwalimu mzuri hata Mobutu muda ulimuamulia idiamini muda ulimuamulia nk hata hawa kunawaliowapongeza na kusema wameletwa na mungu hata hitler Kuna waliomlamba miguu wakimsujudu kwa kusema WATU KAMA HITLER HUJA ONCE PER CENTURY na nikweli dunia haijapata Hitler mwingine mpaka Leo.
 
N
Ni kweli mkuu sniper ila naomba unifafanulie kwa muktadha wa Uzi huu.

Binadamu wengi wamekuwa wanafiki haswa likija suala la dini wengi wanajificha huko kwa kufanya mambo ya ajabu
Yaani wengine tumebaki midomo wazi na kujisemea tu ile imani imekuwa ya kufichia ubaya na kupiga hela
Nashukuru sipo kwenye siasa ila yanayoendelea sio mema kwa kweli
 
Waliona kweli wakaitetea haki kwasasa mmewanunua na wamepotoka.
Waking lisu walivyo risasi sikutegemea Leo mtu asifie ujinga tena mnamsingizia Mungu uongo badala ya kuhoji kwa haki bila kunyamazishwa KWANINI LISU ALIPIGWA RISASI? BEN SANANE YUKO WAPI ? HAYA MASWALI LAZIMA YAJIBIKE KWA UFASAHA NDIO TUANZE KUWASIFU WAPAKWA MAFUTA VINGINEVYO BADO WAPENDA HAKI WA KWELI HAWATAINUA NDIMI ZAO WALA KUTUMIA MADHABAHU ZA BWANA KWA PROPAGANDA ZA KUMSIFU BINADAMU.
Acha kulalamika soma vizuri biblia inasemaje kuhusu mtawala (Methali 20:1)Mhubiri 10:20)Ukishindana na mtawala lazima utaumia, Lisu aliyataka mwenyewe Kwa kutotii wenye mamlaka (Walumi 13:1-3)washindanao na mamlaka wanajitakia ukumu. Mungu ibariki Tanzania
 
Waliona kweli wakaitetea haki kwasasa mmewanunua na wamepotoka.
Waking lisu walivyo risasi sikutegemea Leo mtu asifie ujinga tena mnamsingizia Mungu uongo badala ya kuhoji kwa haki bila kunyamazishwa KWANINI LISU ALIPIGWA RISASI? BEN SANANE YUKO WAPI ? HAYA MASWALI LAZIMA YAJIBIKE KWA UFASAHA NDIO TUANZE KUWASIFU WAPAKWA MAFUTA VINGINEVYO BADO WAPENDA HAKI WA KWELI HAWATAINUA NDIMI ZAO WALA KUTUMIA MADHABAHU ZA BWANA KWA PROPAGANDA ZA KUMSIFU BINADAMU.
Acha kulalamika soma vizuri biblia inasemaje kuhusu mtawala (Methali 20:1)Mhubiri 10:20)Ukishindana na mtawala lazima utaumia, Lisu aliyataka mwenyewe Kwa kutotii wenye mamlaka (Walumi 13:1-3)washindanao na mamlaka wanajitakia ukumu. Mungu ibariki Tanzania
 
Acha kulalamika soma vizuri biblia inasemaje kuhusu mtawala (Methali 20:1)Mhubiri 10:20)Ukishindana na mtawala lazima utaumia, Lisu aliyataka mwenyewe Kwa kutotii wenye mamlaka (Walumi 13:1-3)washindanao na mamlaka wanajitakia ukumu. Mungu ibariki Tanzania
Biblia hiyohiyo ikasema auwaye kwa upanga atakufa kwa upanga tafuta whereabouts za waliomshambulia lisu pengine kanuni itaendelea kutafuna tu mpaka mtu wa mwisho.
 
Back
Top Bottom