Wacongoman hawapendi kazi bali wanapenda Uchawa, Kuigiza, Muziki na Umarioo!

Wacongoman hawapendi kazi bali wanapenda Uchawa, Kuigiza, Muziki na Umarioo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa Kizazi hiki Cha Sasa cha Tanganyika siyo ajabu miaka 20 ijayo Nchi hii ikawa zaidi ya Congo Kwa UPIMBI

Vijana siyo Wachapakazi, siyo Wabunifu bali wanaoamini katika Uchawa, Muziki na Maagizo

1980s nakumbuka Mwalimu Nyerere aliwaambia Wacongoman pamoja na kutoa burudani Kwenye majukwaa ni lazima wawe na Mashamba ya kuzalisha Mali ndio Maquis Du Zaire wakapewa shamba pale Mbezi Msakuzi wakawa wanalima Machungwa

Vijana wa sasa haijalishi Bavicha au UVCCM wanapenda kitonga sana, subirini Wanaume watawakuteni hapo hapo Kwenye mteremko

Kagame na Wanyarwanda wako smart sana 🐼
 
Unapotuona tunapambania Katiba Mpya ujue Mungu ametupa macho ya rohoni na tumeona kuwa endapo hatua madhubuti hazitachukuliwa sasa it's obvious in the next 20-30 years tutakuwa a failed state kama Congo
 
Unapotuona tunapambania Katiba Mpya ujue Mungu ametupa macho ya rohoni na tumeona kuwa endapo hatua madhubuti hazitachukuliwa sasa it's obvious in the next 20-30 years tutakuwa a failed state kama Congo
Amen to that. Tatizo kuna kikundi cha watu wachache wanakaza fuvu, but wako so blind hawaoni future itakuwaj
 
Taifa la D.R.C limekuwa gumu kutawalika, ukubwa wa nchi lakini akili kisoda
 
Kama huyu eeeh🙆
IMG_20250127_095551.jpg
 
Wabongo nao washaelekea huko nao kutwa watu kukatika mauno tu na uchawa
Ndomana M23 Anawanyoosha wakongo

Ova
 
Kwa Kizazi hiki Cha Sasa cha Tanganyika siyo ajabu miaka 20 ijayo Nchi hii ikawa zaidi ya Congo Kwa UPIMBI

Vijana siyo Wachapakazi, siyo Wabunifu bali wanaoamini katika Uchawa, Muziki na Maagizo

1980s nakumbuka Mwalimu Nyerere aliwaambia Wacongoman pamoja na kutoa burudani Kwenye majukwaa ni lazima wawe na Mashamba ya kuzalisha Mali ndio Maquis Du Zaire wakapewa shamba pale Mbezi Msakuzi wakawa wanalima Machungwa

Vijana wa sasa haijalishi Bavicha au UVCCM wanapenda kitonga sana, subirini Wanaume watawakuteni hapo hapo Kwenye mteremko

Kagame na Wanyarwanda wako smart sana 🐼
Ukiwepo wewe
 
Back
Top Bottom