Wadada/binti/mama

Kwanini tunabalehe kabla ya ndoa???
 
I dont think kama nakuelewa wat u real want?unataka faida za kufanya mapenzi au faida za kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada ya ndoa au siku tatu kabla ya ndoa?kwa mtazamo wangu mapenzi yanafaida nyingi sana,yanajenga kujiamini,ushirikiano,upendo etc faida za tendo lenyewe nazo ni nyingi pia ol in ol kila mtu anaefanya anajua anafanya kwa faida ipi.na ukija ktk swala la kwann mtu anasema hata fanya mpaka aolewe usichukulie tu kwakua ww ni mwanamke umepotezewa mda au umechezewa,wapo pia wanaume waliopotezewa mda na waliochezea!na wao pia wanasema hawatafanya mapenzi mpaka ndoa
 

Sarafina, hapo kwenye red kivipi mbona sikuelewi..

kwani kazi ndo itakutimizia matakwa yako ya kibiolojia jamani?
chombo cha starehe kivipi kwani we pia si unastarehe jamani hee au we husikii utamu?!!
 
I guess Sarafina ameishatendwa sasa anazungumzia from her experience, which does not apply to everyone.
 

Na kama ndio huolewi kabisa inakuwaje hapo?
ulishaonja asali hakuna kuchonga mzinga tena eeehh
 


Weka yamini kuwa hutatoka nje ukishaolewa, utashinda. Bt kabla ya hapo, duh, utajuaje kuwa huyu atakuweka ndani. Kama hujaolewa try it.
Wengine wanafanya kama funny/hobby siyo kwa kutaka kuolewa wa pesa, na hao unawaweka wapi?
 
Niko nakusanya maoni wapendwa nashukuru umeme umerudi tena
 
Kumbe muoga hivi??? Ile speed uliyokuja nayo nilikuaminia kweli aaahhh umeniangusha sana bana hebu rudi

Umeme ulikatika kweli my dia sikukimbia lol, umenichekesha jioni jioni
 
Sina hakika kama naelewa kiswahiri au kulambwa,kuonjeshwa,kuonja kumwagwa nk inakuaje hapa?hv kikojoleo kinaonjwa?Naombeni nionje na mimi jamani.
 
Weka yamini kuwa hutatoka nje ukishaolewa, utashinda. Bt kabla ya hapo, duh, utajuaje kuwa huyu atakuweka ndani. Kama hujaolewa try it.
Wengine wanafanya kama funny/hobby siyo kwa kutaka kuolewa wa pesa, na hao unawaweka wapi?

Nilikua najaribu kufikiria kwani haiwezekani kuacha na kupumzika, maana kama ni experience za hivyo vitu umeshapata huwezi kuacha tu ukajisubiria? mimi nataka kujaribu hii kitu
 
I guess Sarafina ameishatendwa sasa anazungumzia from her experience, which does not apply to everyone.

Ni kweli nilishatendwa na sidhani kama ni mimi tu ambae nimewahi kutendwa kwani kama alivyosema pearl hata wanaume huwa wanatendwa, ninachofanya ni kukusanya maoni ya watu mbali mbali na mitazamo yao.
 
Ukilambwalambwa kuacha ngumu sana sarafina.may be jaribu
 
sarafina1 umenichekesha kweli ..bwabwaaaah, yaani umekuwa muoga hivi?naona umeomba mnooo wadau wasikushambulie...na kweli hawajakushambulia....ila dear ndo hivo, kukushambulia ni sehemu ya changamoto tu humu ndani,tushazizoea kwahiyo zisikutoe machozi!! sawa???bwabwaaaaah
 
Kumbe ukipenda mwisho wa siku kutendwa ni kawaida 2?
 

Only if kuna kiumbe kimeshushwa toka mbinguni kwa ajili yako TU..
Na ukimsubiria anaekuja kukuoa, unajua na yeye kapokea miili mingapi kabla??!!...Play safe🙂))
 
Ni kweli nilishatendwa na sidhani kama ni mimi tu ambae nimewahi kutendwa kwani kama alivyosema pearl hata wanaume huwa wanatendwa, ninachofanya ni kukusanya maoni ya watu mbali mbali na mitazamo yao.
Do what suits you the best vinginevyo you wont get the actual answer for your question
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…