Wadada Chukueni Hii: Kuwa wa kwanza katika Game Humdatishwa mwanaume

Aende kwanza akawaulize wanawake wa kizaramo na Wamakonde wanaachwa au huko kwao hakuna taraka zinatoka 😁😁
Konde gal nasemajeee.....hayana muongozo 🀣🀣🀣
Mwanaume unampa miuno ya pakachongo na anakuacha anakimbilia Kwa mtu hana hata mzungu mmoja🀣🀣🀣

Huyu mleta mada tumsaidie kumuamsha kabla hajajikojolea huko ndotoni🀣🀣🀣🀣
 
soon utaanza kubweka kuwa woote ni mbwa
 
Unajua Swala la Sex ni all about Fantsy! Sio kila mwanaume atapenda Mauno wengine wanavutiwa zaidi ya Skiny Lady vitoto vyembamba, wengine wanataka Misambwanda, Wengine wanataka size ya kazi, Hivyo ni Fantasy tu, Wengine wanataka pisi nyeusii, wengine hawajiwezi kwa pisi nyeupe.. All in all jifunze kuelewa nini mpenz wako anataka, na ipi ni fantasy yake
 
Eti unashughulikia pipi jamani utaumwa magonjwa ya koo wewe,sasa hiyo Pipi kwa mwaka unanyonya wangapi???
 
Ushaanza kuhamisha magoli dada kungwi🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nchi ngumu hii
Ingekuwa rahisi hivyo basi wanawake wote tungetajirika, vile vitu ni hisia na mapenzi ya kweli kati yenu.
 
Maskini starehe yake ni, ngono tu, hana matamanio, m engine, chenye maana kwenye maisha yake, ni, kuwaza, mizagqmuano tu!
 
πŸ€”πŸ€” mbwa hahami nyumba inayomlisha vizuri.

Kuku hasahu banda lake.
 
Pamoja na hayo yotee na bado atakusaliti hapo ndo utakapo jua HAYATABILIKI.
Mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja. Wewe ukishakua mama mwenye nyumba na mumeo anatimiza wajibu wake wa kuhudumia familia hayo masuala ya michepuko ya mumeo achana nayo.
 
sasa ndiyo nimeelewa maana halisi ya 'kizuri hujiuza na kibaya hujitembeza'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…