Wadada hii Ina ukweli?

BIGURUBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
6,748
Reaction score
4,252
Wengine wanapost mpaka wakiwa wanakula ugali
 
Kasie

Sijajua maisha yako yanabase vipi kwenye hobby zaidi kuliko maturity? au mzee hii lugha ya Malikia umeidandia tu!
 
Kasie

Sijajua maisha yako yanabase vipi kwenye hobby zaidi kuliko maturity? au mzee hii lugha ya Malikia umeidandia tu!

Sijui kama nimeelewa swali lako. Labda nikufafanulie nilichokiandika kisha uulize tena.

Kuna waschana ambao anatuma mitandaoni kila anachofanya. ... KILA KITU anaweza asiweke picha ila akasema niko bafuni naoga. Huyu akiendelea hadi miaka 50 anaposti kila kitu hapo ndo mtoa mada anasema kuwa bado hajamachua hata kama ana miaka 60 yaani ni bibi kizee.

Ila akifanikiwa kuacha kuposti mitandaoni KILA ANACHOFANYA tuseme ambacho akiwa na miaka 34 basi hapo tunasema huyo mschana au mdada ameshamachua.

Mie nikaongezea maneno kuwa kitendo cha wanawake kuposti matukio mitandaoni ni zaidi ya kumachua. Yaani mwingine anapenda picha anapenda kuongea anapenda kuweka mambo yake mitandaoni nakadhalika huyu anafanya kwa kupenda kama hobby. Kuna ambao hawapendi picha wala kuweka mambo yao mitandaoni tangu wakiwa waschana..... sasa huyu hajaacha kwakuwa hakufanya kabla na hapo huwezi kusema amemachua. .....

Anyways it's just a point of view.
 
You're absolutely right Kasie


Lakini watoto wa siku hizi wanapost hadi wakila ugali? Au wakitembea?

Mm Nafikiri huu ni ulimbukeni na ushamba kwa kiasi fulani!


Najua Ww ni msichana wa zamani kidogo ila ulikuwa matured kabla hata hujatolewa bi...ra yako[emoji41]
 
Najua Ww ni msichana wa zamani kidogo ila ulikuwa matured kabla hata hujatolewa bi...ra yako[emoji41]

Hapana mie bado sijamachua maana bado naweka matukio yangu mengi humu japo si yote... nafanya kuchambua licha ya umri kunitupa mkono.
 
Huenda mimi sijamachua bado[emoji23][emoji23]mana vdeo za kutembea zmejaa tele kule kwenye wasap status......lakin nafikr nafanya kama hobby
 
Huenda mimi sijamachua bado[emoji23][emoji23]mana vdeo za kutembea zmejaa tele kule kwenye wasap status......lakin nafikr nafanya kama hobby
Hahaha that's hobby dear.

Ila % kubwa ya watu wakiangalia status ya msichana wakakuta ni ya kutembea huwa wanaishia kusonya!
 
Huenda mimi sijamachua bado[emoji23][emoji23]mana vdeo za kutembea zmejaa tele kule kwenye wasap status......lakin nafikr nafanya kama hobby

Nakuonaga saaana saaaana!Nimejua tu ni muunganiko wa Less Maturity+ Hobby+ kujishaua Nangai Mwana Kanyenye
 
Nakuonaga saaana saaaana!Nimejua tu ni muunganiko wa Less Maturity+ Hobby+ kujishaua Nangai Mwana Kanyenye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanakanyenye utakuwa umenifananisha[emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…