...usisahau pia nikifika kwako lazima nile hata kama nimekuja kwako nina toothpick mdomoni....au nimekula nilikotoka.Eti kwa pamoja leo tudiscus hii kitu, hivi nyie wadada sijui tuwaite masistaduu au walimbwende nauli ya kutoka buza hadi buguruni rozana ni sh.400 tu ila sasa kila uchwao mkiitwaga maghetoni utasikia nitumie nauli.
Ebu mtuambie leo kwanini huwa mnakosaga nauli pindi mnapoitwa maghetoni, ni kweli mnakuwaga hamna nauli au, yaani mkianzaga kuitwa tu basi hivo vichenji navyo vinapotea au inakuwaje kwenye hilo, naomba mtujuze
...usisahau pia nikifika kwako lazima nile hata kama nimekuja kwako nina toothpick mdomoni....au nimekula nilikotoka.
Ni jukumu lako kunihudumia maana wewe ndio unashida.
Ana shida gani sasa wakati raha mnapata wote
🤣🤣Upewe ulinzi wa kutosha tena haraka sana. 😜😜
Kama mpaka muda huu f.f.u hawajafika hapo kuimarisha ulinzi wako,nitaarifu haraka sana.Ana shida gani sasa wakati raha mnapata wote
Raha gani wakati ningeweza hata kupiga nyeto home mwenyewe?Ana shida gani sasa wakati raha mnapata wote
Ana shida gani sasa wakati raha mnapata wote
Kama wajua waweza ishi kwa punyeto yanini ujisumbue kutongoza au hata kuoa?Raha gani wakati ningeweza hata kupiga nyeto home mwenyewe?
Huu ni upuuzi sana...eti mm ndo mwenye shida khaaa....usisahau pia nikifika kwako lazima nile hata kama nimekuja kwako nina toothpick mdomoni....au nimekula nilikotoka.
Ni jukumu lako kunihudumia maana wewe ndio unashida.
Me ni rijali la kike mkuu....mie natongozwa na kuolewa.Kama wajua waweza ishi kwa punyeto yanini ujisumbue kutongoza au hata kuoa?
Ndio, nilikuwa nimechill zangu home, ukanipigia simu kuwa nije maghetoni kwako...nini shidaaa!!!Huu ni upuuzi sana...eti mm ndo mwenye shida khaaa.
madame B ur dopeeeHa ha ha
Wana marejesho vicoba haoGonga wamaza watu wazima izi mambo za nauli hawana...
Mmoja kwenye kumiWana marejesho vicoba hao
We endelea kupiga nyeto bhanaMe ni rijali la kike mkuu....mie natongozwa na kuolewa.
Hata Id huoni...au kipofu wewe, unaandikiwa?