Ndo hivyo tena....Kadada haya si matani ya ngumu haya!!!
We si ulitaka kujua ukweli lakini???!Siungi mkono hoja tena ikiwezekana nitashika shilingi hapa.
HapanaNgoja kwanza, we hukuwahi kulalamikia hilo?
HahahaMungu anakuona lakini!!
Kwa heriMmh hapa kuamini bila upembuzi yakinifu ni ngumu kidogo!
Wanawake ndio wamekuwa wakilalamika sana hapa kwenye kipengele cha kuchezewa,na humaanisha kuwa wanachezewa KIMWILIGot played!
Maana yake umechezea hisia zake,umeenda kinyume na matarajio yake.Na sio kila mahusiano mwanamke ataona kachezewa.Kwa maana kuna mahusiano sisi ndio tunawachezea ninyi pia ila huwa hamtumii hili neno.
Sawa sawaI think wanachomaanisha ni kuchezewa kihisia,..sio kimwili
Whatever. Jamaa kauliza, je walibakwa? Ama walijipeleka kwa hiariI think wanachomaanisha ni kuchezewa kihisia,..sio kimwili