Wadada kuweni na kiasi mnapotutoza "Tozo ya Penzi"

Wadada kuweni na kiasi mnapotutoza "Tozo ya Penzi"

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Weekend moja nikamtoa out Mwanne. Kule akala bata sana mithili mtu anayenikomoa. Usiku huo nikampiga mistari tuondoke wote atarudi kwake asubuhi.

Akanicheka san. Pamoja na kula vitu vyangu pale batani bado akaniuliza nina bei gani! Nikamuuliza unaniuzia? Akaniambia hakuna cha bure siku hizi. Basi tukakubaliana bei na kazi ikafanyika. Siku nyingine nikamuomba tena,akanimbia tuma kabisa hela kwenye Mpesa. Nikaghafirika,sikumjibu.

Sasa jana kasimamishwa kazi ya uwakala amenipigia nimsadie hela ya kula hana. Bila huruma nikamkumbusha alivyonitoza ada ya penzi. Akaniomba nimsamee ni shida tu zilimfanya anitoze. Nimeendelea kushikilia msimamo wangu.

Nachotaka kusema ni kwamba wadada wamekuwa wabinafsi sana. Kukupa kitu chake lazima kuwa na muamala na wanaamini wao wana haki ya kusaidiwa wakati wowote. Sasa kama unaendekeza miamala acha shobo unapopata shida ndogondogo.

Ni hayo tu kwa wakati huu.
 
Ulipata demu au malaya?

Mbona km mademu hata sisi tunawapata lakini hawatuambia mambo ya tuma hela kwanza ndo nije.
Wanakuja then ndo tunawapa hela au wanatupiga vizinga.
 
Kuna dem nilimpeleka dinner sehem nzuri sana asee 5 star, tukatoka hapo tukaenda kumalizia elements pale nikamwambia tuondoke wote akasema siwez kuwa naye for free, nikamwambia mama pesa zote hzi tulizotumia still unataka nikulipe?

Kwasababu nilikua na ugwadu nikamuuliza bei tukabargain hao tukaenda lodge, sasa baada ya siku kadhaa akanichek anashida akaomba 50k, palepale nikamtumia bila kinyongo. Siku nyingine akaomba 40k nikamtumia.

Weeknd nikaomba kukutana nae akakubali kama kawaida tumepiga chupa nikamwambia twende lodge tukalale akanambia tena nimlipe nikamwambia mama nakusaidia shida zako bado unanilipisha? Nikasema hyu hanijui nikampeleka kwao nikaenda zangu kulala, toka hapo niliblock akawa ananisumbua sana ana nichek kwa namba zingine ila nigga nilishasema huyu mala*** ndo bhs tena
 
Kuna dem nilimpeleka dinner sehem nzuri sana asee 5 star, tukatoka hapo tukaenda kumalizia elements pale nikamwambia tuondoke wote akasema siwez kuwa naye for free, nikamwambia mama pesa zote hzi tulizotumia still unataka nikulipe?

Kwasababu nilikua na ugwadu nikamuuliza bei tukabargain hao tukaenda lodge, sasa baada ya siku kadhaa akanichek anashida akaomba 50k, palepale nikamtumia bila kinyongo. Siku nyingine akaomba 40k nikamtumia.

Weeknd nikaomba kukutana nae akakubali kama kawaida tumepiga chupa nikamwambia twende lodge tukalale akanambia tena nimlipe nikamwambia mama nakusaidia shida zako bado unanilipisha? Nikasema hyu hanijui nikampeleka kwao nikaenda zangu kulala, toka hapo niliblock akawa ananisumbua sana ana nichek kwa namba zingine ila nigga nilishasema huyu mala*** ndo bhs tena
Ndugu yangu kuna watu automatically akili zipo matakoni
 
kula mzigo mpaka ulipie. inatia uchungu sana
Toka enzi za mababu jamani, wanaume mzoee tu. Tena wenzenu walikuwa wanatoa pesa ya mafuta ya kupaka na matumizi madogo madogo hata busu hawajapewa.
Nyie wa siku hizi dakika mbili mshakula mate yote yamekauka, mshatushika tako na mzigo mnataka mpewe bure...haiwezekani.
 
Back
Top Bottom