Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Bibiye bora upite tu usinitafute ya rohoni useme umetukanwaHadi Leo mwanaume unaingia daladala ??
Haya bhana sawa ila nakuuliza Tena shida Iko wapi??Bibiye bora upite tu usinitafute ya rohoni useme umetukanwa
Eeee napanda coz silishwi wala kupewa pesaHaya bhana sawa ila nakuuliza Tena shida Iko wapi??
HatariJamani kelele za hawa wadada et tunabambiwa ila sometime wanayatakaga wenyewe
Nimekaa zangu kwenye situ mtu anakuletea kalio mpk puani hata hajistukiii mbaya zaidi limewamba
Sikutakiana lawama huku ikabidi nizuge nimelala maana sipendagi ujinga kbs
Ukalalia kimasiharaπ€£π€£π€£π€£π€£Jamani kelele za hawa wadada et tunabambiwa ila sometime wanayatakaga wenyewe
Nimekaa zangu kwenye situ mtu anakuletea kalio mpk puani hata hajistukiii mbaya zaidi limewamba
Sikutakiana lawama huku ikabidi nizuge nimelala maana sipendagi ujinga kbs
Sawa ila gari why Huna swali lakujenga mtu, je bado unapangaEeee napanda coz silishwi wala kupewa pesa
Mungu akusamehe tu ujui ulitendaloKama gari huna na kupanga unapanga ushauri wangu nenda Kwa sangoma umelogwa
So kama upo under 20 wewe SI mwanaume Anza mapema kwanza nani kakuingiza jamii forum unatakiwa ublokiwe hadi uwe at least 21 nyie mnatusema sanaNdugu hatufanani mm bado mdog sana kumiliki hivyo you may see nipo under 20 now
muulize ye analo au lift za madanga zinamzuzua, na kama analo kahongwaMungu akusamehe tu ujui ulitendalo
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Usitishwe na wenye makalio makubwa, kuna wengine wanavaa 'vita foam'
πππ Huoni kuwa ninakili kukuzidi na wala sichangii kwa mihemko yangu binafsiSo kama upo under 20 wewe SI mwanaume Anza mapema kwanza nani kakuingiza jamii forum unatakiwa ublokiwe hadi uwe at least 21 nyie mnatusema sana
Unique Flower njoo ujibu maana leo nimeamka swafii la sivyo ungeukaushia uzimuulize ye analo au lift za madanga zinamzuzua, na kama analo kahongwa
πππUsitishwe na wenye makalio makubwa, kuna wengine wanavaa 'vita foam'