Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwashenyenta sana kipindi hiko au nasema uwongoKila Kitabu na zama zake Mkuu
Hata sisi Babu zenu, miaka ile ya 47 tulikuwa Vijana machachali sana 🤗
Sasa tumebaki kucheza na Wajukuu tu huku Vijijini, ukijitahidi sana unaenda kucheza bao na kunywa Kahawa na Wazee wenzio nyakati za Jioni 🙌
We jamaa huwaga unachekesha na hio PFP yakoUliwashenyenta sana kipindi hiko au nasema uwongo
Miaka ile hakukuwa na risk ya maradhi yasiyotibika kama miaka yenu hiiUliwashenyenta sana kipindi hiko au nasema uwongo
Sahz dunia inanuka gono na magonjwa mengi ya hovyo hovyoMiaka ile hakukuwa na risk ya maradhi yasiyotibika kama miaka yenu hii
Kwahiyo ukiuza ng'ombe zako wawili watatu unaenda kula maisha kidogo na akina Bibi
Na mnajua vile Bibi zenu walivyokuwa mafundi tofauti na hawa wenu
Mambo yalikuwa matamu hasa 🤗
Kwa kweli, hali inatishaSahz dunia inanuka gono na magonjwa mengi ya hovyo hovyo