Wadada: Mnapenda tamthilia za Kikorea zinawandisha nini?

Namge

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
1,446
Reaction score
1,973
*Nimeangalia tamthilia ya Kikorea inayohusu mapenzi kwa miezi 3 hakuna hata kipande kimoja demu alichoomba hela, cha kushangaza hizi tamthilia dada zetu wanazipenda sana, wanajifunza maudhui yake kweli?*

Mkinuna poa tu ndo nishasema.
 
akina jumong ni ma "dume suruali" , sie wanaumme wa dar tusipo ombwa pesa na mademu zetu tunanuna/tunasusa.
 
Tunasifia vya ndani zaidi(bongo movie)
Wadada wa mule wengi huwa wanaomba pesa
 
*Nimeangalia tamthilia ya Kikorea inayohusu mapenzi kwa miezi 3 hakuna hata kipande kimoja demu alichoomba hela, cha kushangaza hizi tamthilia dada zetu wanazipenda sana, wanajifunza maudhui yake kweli?*

Mkinuna poa tu ndo nishasema.
Au cyo[emoji6] [emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…