Kijana kua na adabu!!!Sijui usiku hamlali, au mnafanya kazi sana au ni nini ttzo,
Tena mnaachia midomo duu,
mijasho chapa.
Sio wote lakini mnazinguaa
Huyu bibi wa pembeni yangu kma sio faiza foxy bahati
maharagwe ya wapi hayo?Sijui usiku hamlali, au mnafanya kazi sana au ni nini ttzo,
Tena mnaachia midomo duu,
mijasho chapa.
Sio wote lakini mnazinguaa
Huyu bibi wa pembeni yangu kma sio faiza foxy bahati