Wadada na Kuchanganya Lugha wakati wa dating

Wadada na Kuchanganya Lugha wakati wa dating

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Huu utandawazi nao umekuja kufanya watu wanakuwa malimbukeni..

Unakutana na Mwanamke siku ya kwanza (kwa kawaida huwa wanapretend sana na kujifanya watakatifu) Anaongea viswahili viwili na viingereza vitano Mara oo " I think sitaki Kula Food ambayo sio my favourite" i always Take things positive yaani, Mimi sio that type of a girl"

Basi tu uzungu mwingi na "Aaaaaam nyingi" kabla ya kuongea..

Unashindwaje kuwa straight na kuongea kiutu uzima kama ni kiswahili ongea kiswahili... Kama unajiweza na kiingereza Basi iwe kiingereza..

Acheni maisha ya kwenye TV...Tunawapeleka sehemu nzuri mnajifanya kudokoa tu vyakula mnaacha kama vilivyo Na tumelipia zaidi ya 20k Kumbe mnaishi Kwa vitumbua na unga robo! Ishini kwa uhalisia Bwana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu utandawazi nao umekuja kufanya watu wanakuwa malimbukeni..

Unakutana na Mwanamke siku ya kwanza (kwa kawaida huwa wanapretend sana na kujifanya watakatifu) Anaongea viswahili viwili na viingereza vitano Mara oo " I think sitaki Kula Food ambayo sio my favourite" i always Take things positive yaani, Mimi sio that type of a girl"

Basi tu uzungu mwingi na "Aaaaaam nyingi" kabla ya kuongea..

Unashindwaje kuwa straight na kuongea kiutu uzima kama ni kiswahili ongea kiswahili... Kama unajiweza na kiingereza Basi iwe kiingereza..

Acheni maisha ya kwenye TV...Tunawapeleka sehemu nzuri mnajifanya kudokoa tu vyakula mnaacha kama vilivyo Na tumelipia zaidi ya 20k Kumbe mnaishi Kwa vitumbua na unga robo! Ishini kwa uhalisia Bwana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.naona ishu hapo si kuongea kiswanglish bali ni kimtoa mtu kwenye mgahawa saafi na wakistaarabu kabisa hafu anadokoa dokoa.

Inatia mahudhi sana.
Mi mwenyewe nachukia kabisa tabia hiyo
 
Ukiona inakukera lazima kuna lugha moja inakupiga chenga.
Karibia duniani kote wanachanganya lugha wakati wa kuandika na kuongea. Ni kawaida sana.
🤣🤣🤣🤣🤣 ukisoma kwa umakini utagundua kinachomuumiza sio kiswanglish bali ni kumtoa mtu(mpenziwe) sehemu nzuri kwa ajili ya chakula halafu mdada anaishia kudokoa dokoa.anaionea pesa yake uchungu🤣🤣🤣
 
Huwa nanunua chakula ambacho nnaweza kumaliza chote..
Manzi akilinga kula huwa nakimalizia chote then tunaondoka.
 
Mwanamke ni pambo, na hivyo vyote ni sehemu ya upambo wake. Unataka mwanamke awe kama mwanaume!!! Huwa napenda mwanamke anayenidekea, ananipa ujasiri sana wa kuona ninaaminika!
 
Mchanganya lugha hata kwenye sms tu utamuona. Ni aina mpya ya ulimbukeni
wanawake hasa wale wa chuo, au ma slay queen hio ndio fashion
Hamna kitu naonaga aibu kama Kuongea kiswanglish mbele za watu hasa Kwenye mighahawa/Hotel nk yani naona aibu kubwa maana ni ulimbukeni ambao haukufikishi popote
 
Kabisa yaani halafu wanaona ndo ujanja
Mchanganya lugha hata kwenye sms tu utamuona. Ni aina mpya ya ulimbukeni
wanawake hasa wale wa chuo, au ma slay queen hio ndio fashion
Hamna kitu naonaga aibu kama Kuongea kiswanglish mbele za watu hasa Kwenye mighahawa/Hotel nk yani naona aibu kubwa maana ni ulimbukeni ambao haukufikishi popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu utandawazi nao umekuja kufanya watu wanakuwa malimbukeni..

Unakutana na Mwanamke siku ya kwanza (kwa kawaida huwa wanapretend sana na kujifanya watakatifu) Anaongea viswahili viwili na viingereza vitano Mara oo " I think sitaki Kula Food ambayo sio my favourite" i always Take things positive yaani, Mimi sio that type of a girl"

Basi tu uzungu mwingi na "Aaaaaam nyingi" kabla ya kuongea..

Unashindwaje kuwa straight na kuongea kiutu uzima kama ni kiswahili ongea kiswahili... Kama unajiweza na kiingereza Basi iwe kiingereza..

Acheni maisha ya kwenye TV...Tunawapeleka sehemu nzuri mnajifanya kudokoa tu vyakula mnaacha kama vilivyo Na tumelipia zaidi ya 20k Kumbe mnaishi Kwa vitumbua na unga robo! Ishini kwa uhalisia Bwana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Beauty lies on the eyes of the beholder [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tabia ya kugusa gusa msosi sio nzuri na sio ustaarabu. Siwezi acha chakula hata mara moja, nikiona nmeshiba naomba wanifungie take away (nishafanya mara kadhaa) maana outing naipenda sababu ya msosi sasa nifike eneo la tukio nianze kugusa gusa tena! Hahaha haiwezekani
 
Back
Top Bottom