zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Ama kweli nimeamini kumbe Nabii hatambuliki kijijini/nyumbani kwao
Yaani wadada na wakaka wa humu mnaongeleaga na kushauri kuhusu relationships Ila cha ajabu mbona nyie ham fall in love au kuoana humu.
Au ndo ile kusema smart people don't fall in love easily.
Mi nategemea kuona for instance flani amekuwa deeply in love na flani kupitia JF hapo ndo tujue kweli JF inafanya kazi vilivyo.
Sasa nyie ni kusema tu we are single na mnabaki kuwa single alafu mngetuonesha na practical functioning ya JF sasa mnatongozana tu halafu yanabaki humu humu hamu oani.
Wengi wenu najua mko single na hata plan ya kuoa/kuoana hamna kabisa.
Si mtongozane basi tuone kama Jamii F ni mfano wa kuigwa
Yaani wadada na wakaka wa humu mnaongeleaga na kushauri kuhusu relationships Ila cha ajabu mbona nyie ham fall in love au kuoana humu.
Au ndo ile kusema smart people don't fall in love easily.
Mi nategemea kuona for instance flani amekuwa deeply in love na flani kupitia JF hapo ndo tujue kweli JF inafanya kazi vilivyo.
Sasa nyie ni kusema tu we are single na mnabaki kuwa single alafu mngetuonesha na practical functioning ya JF sasa mnatongozana tu halafu yanabaki humu humu hamu oani.
Wengi wenu najua mko single na hata plan ya kuoa/kuoana hamna kabisa.
Si mtongozane basi tuone kama Jamii F ni mfano wa kuigwa