Wadada na zawadi....


Let them boys see what a man can do in the same venue but a difference in resultant
 
kweli kabisa uswazi hawajui besdei wala valentino.....


he he hee wewe utakuwa una date watoto wa masaki aisee
uswazi hakuna hiyo
ugali na nauli ya daladala kwisha kazi....

we unabembeleza wiki nzima..aisee pole sana

jaribu wadada wa uswazi uone mambo....
 

Baada ya kusoma hii comment....nimejikuta nacheka kweli!!
 
makubwa,utanunaje wiki nzima wakati zawadi ni hiyari ya mtoaji?hata mkono wa pongezi ni zawadi.
 
Hahaha Boss na DC naona mnataka kuleta hadithi za gunia la mkaa na live chicken sasa
 
makubwa,utanunaje wiki nzima wakati zawadi ni hiyari ya mtoaji?hata mkono wa pongezi ni zawadi.
Umenifundisha kitu. Kuanzia leo zawadi yangu itakua mkono wa pongezi...:wink2:
BY THE WAY: umenipa zawadi kwa sababu, yani wewe mchango wako wa kwanza kabisa wa mawazo humu jamvini umeuweka kwenye post yangu... Karibu
 
ulimtongoza kwa zawadi kaisha zoea, mwambie ukweli huna uwezo tena wakutoa zawadi ya kila tukio! ongea usitangulize vitu sana.
 
huyo sio wife material, ni girlfriend material, usipoangalia siku utaishiwa hata hela ya kununua mboga ndani ataondoka ataenda kwao mpaka upate hela ndo ukabembeleze umchukue tena khaaaa mwanamke gani anakupenda wewe au anapenda zawadi?????????? figure out
 
Hata kama ni kitu usichokipendelea/kinachokuletea bad memories.....its okey mradi ni suprise??

Suprise as far as i know its anything unexpected.. Wether kizuri au kibaya..
 
Zawadi muhimu kwenye matukio wewe. Zawadi si lazima uingie dukani. Siku ya tukio unaweza mtumia muhusika hata ujumbe wenye maneno mazuri. Inaleta faraja kuliko siku inapita kavu kavu.
 
Mimi huwa maranyingi niko busy..... na mamaa huwa ndio ananinunulia sana zawadi ila nashangaa kwanini siku hizi DOMMY haninunulii zawadi kabisa sijui kunanini daaah
 
Hahaha Boss na DC naona mnataka kuleta hadithi za gunia la mkaa na live chicken sasa

yeyote anaepitia
'gunia la mkaa na live chicken'
trust me hawezi kununiwa....
ni uzoefu tosha lol
 
Hivi kudekezwa ndo nini?Hebu nieleweshe,Maana nikijaoa akataka kudekezwa nijue!
Mfano;mwanamke: bebiii mi siamki leo,
mwanaume: amka bwanaaa
mwanamke: sitakiiiii niniiiii
mwanaume: haya njoo nikubebe basiii
huo ni mfano mfupi nadhan umepata kapicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…