Ushawahi kuwa na basha la kichaga?
sasa wanakwambia wapelekewa khabari na vijana wa kichaga wewe huwaulizi kama ni tamu sana ili na wewe utafute kijana safi wa kichaga awe ana kuchechetua?
The Following User Says Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:No kwa hapa nitasema............. generalization halafu unatuita wajinga? tunajipendekeza kwa wachaga?? eti.ugumu wa kuwapata?
Wewe utakuwa domo zege kama hujui kuwaimbisha usiwasemee mbovu.
Mwone vile!
The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:Calm down Bigiie.....Hao nimeshawagundua...wanaume wanawachukia kwasababu wadada wanawakubali pamoja mauzushi yanayovumishwa wao wanawakosa...alafu Chagga galz nao wanawatolea nje basi inabidi watunge vijisababu angalau watuchafue kidogo!
Du. Mwenzetu wewe, badala ya kuwapa hao wadada mshobobo, unabaki kupiga umbea, unahatari
Wachagga hawajui majamboz.
Kwa hiyo wamewekeza kwenye kuhonga na wala si kazi za kitandani
mmh nan kakudanganya?
kwa kukopa ao hawafai..
akimpa demu ela ya salun january basi ataizungumzia mpk desemba...mama manka ile pesa imeisa?ahh mbona nilikupa jana tu...?
teh teh jaman stak mieeeeeeeeeeeeeeeee...ennhh
hawwajui majamboo..ahaaa jaman awa watu....wwanajua nini sasa?
kwenye kuhonga nakataaa WABAHILI SANA TU,...
Focus kwenye biashara usijefunga ki-pharmacy chako, mapenzi/umbeaumbea na biashara ni sawa na maji na mafuta!
Labda wale malimbukeni wanaotoka Moshi leo,mchaga aliyekaa mjini ni mbahili sana,wana calculation sana.......:A S 27:
sorry kwa kugeneralize ila most dadas wanakamchezo ka chatu na mbwa yaani ni vigumu kuwasemea no hawa jamaa wa chagga.HAMNA MTABIBU HATA MMOJA DUNIANI ALIYE DOMO ZEGE yaani ndio maana wengi hawana mademu wa kudumu manake naweza kuwa na watatu in a wiki, tena haturudiagi demu manake labda kama ana cha ziada.most WANAWAKE NI VIGUMU SANA KUWAKATALIA WATABIBU HATA KAMA NI MKE WA MDOSI.No kwa hapa nitasema............. generalization halafu unatuita wajinga? tunajipendekeza kwa wachaga?? eti.ugumu wa kuwapata?
Wewe utakuwa domo zege kama hujui kuwaimbisha usiwasemee mbovu.
Mwone vile!
mimi ni clinical officer jioni nakuwa pharmacy nkihudumia wateja wengi ni wadada, for successful conduct ni lazma wateja wawe maswahibwa na washkaji zako,KUNA WAKATI MAONGEZI YANAVUKA MAADILI NA WADADA HUNIAELEZA WAUME ZAO,kwa kila aliyewahi kuwa na idadi kadhaa hakosi mchagaa, hivi hawa waume wa kichagga si washambaa kwa nini wadada hamsalimiki kwao?
kwa hiyo wadada wanajirahisi kwa MANGI cz ya mshiko? HAPANA CZ HAINGII AKILINI MDADA BOMBA KABISA MWENYE vimkwanjwa na kistarlet au vits kuliwa uroda na MANGI ANAYEUZA DUKA LA BOSI WAKE.yaani kuna kitu sikielewi kuhusu....Mwanamke akiwa na mchagga ana guarantee hatakufa njaa.
mmechoka na wanawake sasa mmegeukia kaka zetu eh!? mtasema sana safari hii
"am proud to be MCHAGGA"
mkuu, unahitajika kurenew jinsia yako (kama ni mwanaume), naona inaanza kuexpire kidogo kidogo. utakaaaje na wadada uanze kuongelea idadi na kabila la wanaume anaotoka nao? uscheze nao sana hao watakupeleka kichen pati halaf tukupoteze.
TAFADHALI NIELEWE for successfull conduct lazma stori kwa sana, unadhani ni kwa nini pharmacy za wadada huyumba kimapato?wadada wanataka pahala pa kuongelea mazuri na mabaya yao, nawasaidia kiushauri hata wamama watu wazima.usipokuwa mwongeaji wanaanza kupotea mmojammoja.Mimi ni njanja kibiashara siri zao nawatunzia ndio maana wananiamini.ila wanatoka sana na wachaga nawengi wanajua hata salam zao .