the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
- Thread starter
-
- #61
]ongeza mkuyati ktk famasi yako
hapana mimi si mkabila hata kidogo, kwa taarifa wachagga wamejazana huku kwenye fani ya MATIBABU kwa hiyo collabo nao ni lazima. WACHAGGA WENGI HUITWA WASHAMBA hasa na wazawa wa dar mtaani ILA INAKUWAJE WADADA WANAWAKUBALIA kirahisi?naweza sema 70% ya wadada waliowahi kubadilisha au kuCHEAT wamewapa wachagga.pls ROSE HEBU ULIZA WENZIO UTAKUBALIANA NA HILI
Wanajua kuvaa suruali za vitambaa na viatu vya wamachinga ha haaa.
the mkerewe,
Soma basi angalau upate MD - clinical officer hana tofauti na nursing officer!
Badala ya kuongeza ujuzi wa taaluma yako, wewe unakaa kuongea umbea na wake za watu!
Unless wewe una homoni za kike this is VERY LOW!
pla rose na mashosti niambieni mnaangukia kivipi kwa wauza maduka,wachoma nyama,vyepe na wapiga rangi viatu?HILI JUKWAA LA MAHUSIANO LIMEJAA WACHAGAA waondoke wakafanya biashara KITUMBINI KISUTU.YAANI HATA WADADA WAJAIDINA wanawapa wala mbuzi katoliki inatishammh jaman...NA KUCHOMEKEA JEANS..
friendly speaking wadada wa kicchaga hasa waliokulia au kuishi kwa mdaa mrefu mikoani iwe moshi arusha tabora,moro au ukerewe ni wife materials, tena kama kidume hutaki presha za kuibiwa demu au mkeo bora uwe na demu mchagga.Kwa kiasi ni wagumu kuliko waha akina....Calm down Bigiie.....Hao nimeshawagundua...wanaume wanawachukia kwasababu wadada wanawakubali pamoja mauzushi yanayovumishwa wao wanawakosa...alafu Chagga galz nao wanawatolea nje basi inabidi watunge vijisababu angalau watuchafue kidogo!
mrisho mpoto alisema tufanye tunachoweza kama kusoma tumeshindwa kufugie kuku madarasani kwani ndilo tuwezalo. wewe umeshindwa changia thread ya MZEE MWANAKIJIJI hata mmoja halafu unajiona una hekima.unachoweza ni hapa kwenye mahusiano tena yale ya kimaruhani mara baba vs binti yake, mama mkwe, demu mkwere vs dume mchagga ILA THREAD ZA AKILI HUWEZI
KUONGEA NAO KUMENISAIDIA KUWASHIKA NA KUWAFANYA WATEJA WANGU WAKUTUMAINIWA, biashara ya pharmacy inahusisha kuuza maneno kwa sana. maduka kibao yanauza bidhaa X lakini watatoka huko kuja kwangu kama sio usanii ntakufa njaa hapa mjini kamanda au unaishi kwa wazazi huoni haja ya usanii ili mkono uende kinywani.Dah wewe jamaaa bana umenitisha unaongea na wanawake za watu una nini lakini wewe?? Wanaume hawaji kununua dawa ni wanawake tuuu??? Umbea utakuua wewe shauri yako
mimi ni clinical officer jioni nakuwa pharmacy nkihudumia wateja wengi ni wadada, for successful conduct ni lazma wateja wawe maswahibwa na washkaji zako,KUNA WAKATI MAONGEZI YANAVUKA MAADILI NA WADADA HUNIAELEZA WAUME ZAO,kwa kila aliyewahi kuwa na idadi kadhaa hakosi mchagaa, hivi hawa waume wa kichagga si washambaa kwa nini wadada hamsalimiki kwao?
mmh jaman...NA KUCHOMEKEA JEANS..
pla rose na mashosti niambieni mnaangukia kivipi kwa wauza maduka,wachoma nyama,vyepe na wapiga rangi viatu?HILI JUKWAA LA MAHUSIANO LIMEJAA WACHAGAA waondoke wakafanya biashara KITUMBINI KISUTU.YAANI HATA WADADA WAJAIDINA wanawapa wala mbuzi katoliki inatisha
dah wewe jamaaa bana umenitisha unaongea na wanawake za watu una nini lakini wewe?? Wanaume hawaji kununua dawa ni wanawake tuuu??? Umbea utakuua wewe shauri yako
ongeza mkuyati ktk famasi yako
mrisho mpoto alisema tufanye tunachoweza kama kusoma tumeshindwa kufugie kuku madarasani kwani ndilo tuwezalo. wewe umeshindwa changia thread ya MZEE MWANAKIJIJI hata mmoja halafu unajiona una hekima.unachoweza ni hapa kwenye mahusiano tena yale ya kimaruhani mara baba vs binti yake, mama mkwe, demu mkwere vs dume mchagga ILA THREAD ZA AKILI HUWEZI
dumb and dumber....mimi ni clinical officer jioni nakuwa pharmacy nkihudumia wateja wengi ni wadada, for successful conduct ni lazma wateja wawe maswahibwa na washkaji zako,KUNA WAKATI MAONGEZI YANAVUKA MAADILI NA WADADA HUNIAELEZA WAUME ZAO,kwa kila aliyewahi kuwa na idadi kadhaa hakosi mchagaa, hivi hawa waume wa kichagga si washambaa kwa nini wadada hamsalimiki kwao?
dumb and dumber....
wewe mamushka acha kukandia hata kama ni mshona viatu na muuza kanda bado hawa jamaa wananidhamu ya matumizi, itakufaidi nini kutapanya mkwanja kwa starehe kisha uzeeni unapanga chumba.I AGREE THEY ARE REVOLUTIONARY IN NATURE ila sio sababu ya kuwalamba kiivyo, toa ukweli inakuwaje mnashindwa kuchomoa kwa hawa jamaa.Umesahau na wauza kanda haaa haaa ukiskia kelele za nyimbo njiani ujue mangi anapita ha haaa.
wasukuma ndio wengi tz,following the scarcity of land and disire to accumulate capital chagga has spread mpaka ukerewe, ni mabingwa wa kuigiza ili uwahurumie wanapokuwa wageni na wako tayari kufanya kazi ni kazi hata kulea bibi kizee kwa matajiri ILA AKISHAYAJUA MAZINGIRA ataki tena kuajiriwa ataanza kuuza sigara za pakti mara gafla mduka mara miduka tajiri kama sio WEZI NI NINI?nadhani kwa sababu wako wengi sana.
kila kona ya TZ humkosi mchaga..
sijui ndo kwa ajili ya utafutaji au uzalianaji??