Wadada nchukieni ila ukweli ni .....

Nahisi kama nilikusimulia vileeee!
Maana uko mulemule.
 
Jamani,wakiwa washamba ndio wakataliwe!
Tena washamba ndio wazuri.
 
Si kweli...Wachaga hawajui 'kutongoza', hivyo wanawekeza kwenye kuhonga ili kupata 'watoto' wakali!
 

Akili nywele dear..
 
SORRY MR.CLINICAL OFFICER......................badala ya kupiga kazi nawe wakazana na kupiga unafki na kina dada?
 
Hivi huyu mwanaume kweli?.......how come you call yourself a clinical officer na tabia hiyo?..... Utakuwa nursing attendant wa le wa standard seven,,,,,,,,
 
Hivi huyu mwanaume kweli?.......how come you call yourself a clinical officer na tabia hiyo?..... Utakuwa nursing attendant wa le wa standard seven,,,,,,,,

kizazi cha dot.com .lol
muulize babu DC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…