mimi ni kijana mtanashati sana na nimemaliza elimu ya chuo kikuu. bado kazi yangu sio stable sana ila naitaji nipate mwanamke ambae tunaweza kuishinae. awe mzuri kwa sura tabia na akivaa nguo ziwe zinamkaa. asiwe mnene wa kupiliza kwasababu mimi huwa nabuni mavazi so ya watu wanene siwezi na hawanipi midadi. kama kunayeyote ambae yuko serious tafadhali tuwasiliane.
mimi ni kijana mtanashati sana na nimemaliza elimu ya chuo kikuu. bado kazi yangu sio stable sana ila naitaji nipate mwanamke ambae tunaweza kuishinae. awe mzuri kwa sura tabia na akivaa nguo ziwe zinamkaa. asiwe mnene wa kupiliza kwasababu mimi huwa nabuni mavazi so ya watu wanene siwezi na hawanipi midadi. kama kunayeyote ambae yuko serious tafadhali tuwasiliane.
hayo mavazi unabuni tu au utaninunulia kabisa? Ila ilo swaga lako nimelikubali navopenda pamba loh?mimi ni kijana mtanashati sana na nimemaliza elimu ya chuo kikuu. Bado kazi yangu sio stable sana ila naitaji nipate mwanamke ambae tunaweza kuishinae. Awe mzuri kwa sura tabia na akivaa nguo ziwe zinamkaa. Asiwe mnene wa kupiliza kwasababu mimi huwa nabuni mavazi so ya watu wanene siwezi na hawanipi midadi. Kama kunayeyote ambae yuko serious tafadhali tuwasiliane.
how!!??? ebu tipe demo kiduchuu!mimi nipo serious na nitampenda sana.
itabidi uje ulicheki kama utalipenda. ukiwa umekidhi vigezo then m urs
Preta kitu hicho,..na wewe ulivyo mnene wala sio wa kupitiliza plus swaga za mavazi yako_utajiibulia kifaa kitanashati saana na kilichomaliza chuo kikuu...ila issue ni kwamba kazi yake sio stable sana,..........al da best mkuukwa hapo tu ndio nshakukosa....unene huu.....:A S embarassed:
ndio kwanza kamaliza chuo kikuu,.....asake mahela ndio mpango mzima_...hiyo habari ya utanashati na kumaliza chuo kikuu ni ubatili mtupu,.....akikua ataacha huyuTafuta hela kwanza ukishakuwa jogoo wala hutahitajika kupost JF....